Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe uliko huko huwasindikizi Watoto wa kina Mbowe?
Nauza kangala na Ambiace tu hapaWewe uliko huko huwasindikizi Watoto wa kina Mbowe?
🤣🤣🤣Wewe uliko huko huwasindikizi Watoto wa kina Mbowe?
Kamanda wa Rapid Force mtarajiwa.
Jikite kwenye hoja mezaniSi ukashabikie Watoto wa kina Lisu na Mbowe au? Au wale wa Lema naona huwa anapanda nao majukwaani harafu nyie nyumbu mnaishia kuwa wapenzi washangiliaji 🤪🤪
Jamaa wanasimika mizizi ya kuwalinda wakitoka madarakani
Stupid nonsenseHoja hiyo Ina receprocative effect.
Jamaa wanakita mizizi waibe vizuri baadae wapate watu wa kuwalinda
Vijana wa kitanzania wamejiridhikia zao kuwa Ng'ombe, wanalipwa 20k ili wasukume ajenda za watawala. Ajenda nyingine ni za kuchafua na kudhalilisha wengine.
Wataendelea kutumika kama Ng'ombe wa kulimia wakati viongozi wao wanaandaa watoto wao kuwa viongozi wa baadae.
PS unategemea atakuwa na sauti mbele ya CCM?Sasa huyu Lucas Mwashambwa itakuaje? watoto wake watarithi nini? maana hata kilimo cha kahawa ccm wameshakitelekeza.
Watoto wameshiba itikadi ya Mzeyaa
Muache huyo kichwa ngumu hataki kusikia anachoambiwa, atavuna anachopanda, ile namba ya simu anayoweka huku mwishowe ataishia kutapeliwa tu na watoto wa mjini.Sasa huyu Lucas Mwashambwa itakuaje? watoto wake watarithi nini? maana hata kilimo cha kahawa ccm wameshakitelekeza.
Kofia na tishetiSasa huyu Lucas Mwashambwa itakuaje? watoto wake watarithi nini? maana hata kilimo cha kahawa ccm wameshakitelekeza.