Hizi picha zinathibitisha makabwela wa CCM mtawasindikiza akina Mwigulu na wenzake

Hizi picha zinathibitisha makabwela wa CCM mtawasindikiza akina Mwigulu na wenzake

Kesho huyo dogo atakua akisambaza picha akiwa CCM tokea utoto wake , sijui kama kutakuwa na cha kumwambia.
 
Jamaa wanakita mizizi waibe vizuri baadae wapate watu wa kuwalinda
Wanafanya kila linalowezekana kuibinafsisha siasa na uongozi wa taifa kuwa wakwao na familia zao.

Nilisema humu sio dhambi mtoto kufanya kazi aliyokuwa anafanya Baba ila kwa ngazi hii huwezi kuniambia hakuna mkono wa baba yake hapo.

Vipi kwa watoto wa ambao hawana baba au mama katika safu za uongozi wa nchi na chama? Wataweza kusimama na hawa watoto wa vigogo?

Ukiona viongozi wanapambana kuwasimika watoto wao kwenye siasa ujue wameona ni sehemu ya kupata pesa nyepesi.
 
Wanafanya kila linalowezekana kuibinafsisha siasa na uongozi wa taifa kuwa wakwao na familia zao.

Nilisema humu sio dhambi mtoto kufanya kazi aliyokuwa anafanya Baba ila kwa ngazi hii huwezi kuniambia hakuna mkono wa baba yake hapo.

Vipi kwa watoto wa ambao hawana baba au mama katika safu za uongozi wa nchi na chama? Wataweza kusimama na hawa watoto wa vigogo?

Ukiona viongozi wanapambana kuwasimika watoto wao kwenye siasa ujue wameona ni sehemu ya kupata pesa nyepesi.
Huwezi kukututa mtoto wa Mwenyekiti wa tawi CCM kwa ngazi hizo, jamaa wanaiba huku wakijua kuna ulinzi baadae hakuna namna
 
Biashara inayolipa zaidi ni siasa, na CCM ndio kampuni yenye mtaji wa kutosha.

Baada ya 1961, Uhuru mwingine unahitajika.
 
Hata ningekua mimi nafasi ipo mwanangu chappp!
Muhimu kuwahi tu.
Hii ni tamaduni ya Kiafrika inaitwa umimi inaanzia tangu umri Mdogo .
Hata kule shuleni zamani unaenda ofisi ya mwenyekiti na Katibu wa bweni unakuta wamehifadhi wali mwingiiiii umejaa Kwenye visado na visado vingine zimejaa michuzi na manyama ya kutosha , wakishindwa kumaliza wataita marafiki zao !
 
Muache huyo kichwa ngumu hataki kusikia anachoambiwa, atavuna anachopanda, ile namba ya simu anayoweka huku mwishowe ataishia kutapeliwa tu na watoto wa mjini.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Huyu dogo ni mjinga sana nilishawahi kumshauri atafute uhuru wa kiuchumi aachane na uchawa maana huko mbeleni kwa utawala huu wa ccm game inaenda kuwa tight sana kuliko sasa hivi.
 
Back
Top Bottom