Hizi plate no. ni za taasisi gani? Kikosi cha kupambana na Madawa ya kulevya hutumia namba gani?

Hizi plate no. ni za taasisi gani? Kikosi cha kupambana na Madawa ya kulevya hutumia namba gani?

Nyingine hazina namba kabisa. Juzi nilikutana na basi la halmashauri ya Temeke likiwa limebeba maofisa wa manispaa hiyo na RPC ndani lkn halikuwa na namba kabsaa. Na magari mengine yana plate namba mbili. Ile ya juu imewekwa na ruberband au vibanio vya karatasi. Hapa sijui wanamdaganya nani?
Wanaogopa wananchi!
 
Pia jeshi la uhifadhi misitu pia wameleta yao imeanza tumika last month nafikiri..nahisi ni kitu kama JU
 
Back
Top Bottom