Hizi pombe jomoni

Ha ha ha ha usinikumbushe pombe.nna makovu mwilini ya kudondoka yalosababishwa na pombe
 
Supu anaijua uyo..mpaka atumike tena ndio aijue iyo ya supu[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Dada angu amua kuacha pombe haisaidii lolote zaidi ya kukupa shida akilini, na kujilaumu baada ya pombe kuisha kichwani, I was like you few months ago, niliamua kuiacha coz hakuna faida nilopata zaidi ya gharama
 
Kwahiyo kwa uandishi huu bado unajiona hujalewa,nia afadhali hivyo ulivyoamua kwenda kulala..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…