Hizi pombe jomoni

Wanawake wenyewe wanasemaga et ukinywa zinashuka down na kunataka balaa.
Vip ww mama Sabrina kulipita salama?
 
Dah...wenge hilo la kuanza kunywa mvinyo kabla ya bia......Siku nyingine anza na bia kisha ndiyo unywe wine...utajisikia poa sana😀😀😀😀😀
 
Umenikumbusha mdada mmoja nilimvulia kofia alienda smirnoff 13 hadi nikajua ananikomoa....

Nilichofanya namimi nikamkomoa ila hakupepeseka wala.

G nilikuvulia kofia.
Habar yako mzee hayo maeneo huwa hunishtui tusaidiane kukomoa enhee?
 
Mwenyewe umekosea ni smirnoff na sio sminoff niliandika haraka kurahisisha mmbo mzee kama ambvyo unaweza kuandika lkn badala ya lakini.
Hiyo ni typing error. Bila shaka umeelewa kama ni vodka sio kweli unacho zungumza. Ila kama ni bia kuna ukweli ndani yake
 
Hiyo ni typing error. Bila shaka umeelewa kama ni vodka sio kweli unacho zungumza. Ila kama ni bia kuna ukweli ndani yake
Hahaha dude hold on.... Smirnoff ice beer ina alcoholic za kawaida hadi inazidiwa na balimi... Vodka ndiyo inakubwa nafikiri kwenye 40-50% hapo.


Vodka asingeweza kwenda zote hizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…