Ammhhhhh hongera mkuuu.
Ila kwa mwanamke ??? Aaarrrggghhhhh not a big deal mipombe ,alafu unanywea Bar ?????? Arrrgghhh inakua rahisi kukokotwa nakwenda kufanyishwa ngono zembe !!.
Kunywa ukiwa kwako.
Km nibar kunywa namwenzi wako.
Kwa mwanamke ,,, Unashauriwa kutumia angalau Glass moja tu kwasiku .
NB.Mwanamke anayekunywa pombe sana anakua namadhara makubwa ya uzazi namara nyingi huishia kuzaa mtoto Darasan huwa nibonge LA kilazaaa.....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]usiulize kwann[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
NB....Mwanamme mnywaji wapombe Lazima asaidiwe majukumu na wanaume wenzake I mean agongewe mke.