Hizi projects zitaifanya Dar kua unbeatable lifetime modern city in East Africa

Utopian Tz
 
Maji safi na salama mji mkuu bado....mtu analundika ma dumu nyumbani unadhani anauza gongo....imagine "modern city no clean and runing water"
 
Mkuu, nchi yetu sio changa kiasi hicho, watu wameitafuna miaka mingi ndio maana tupo tulipo, tungekuwa serious leo hii tusingeongea mambo ya "matundu ya vyoo", we lag behind and we should admit it's our fault.

Sijui kama umenielewa, lakini kwa vile na sisi wananchi tunaridhika na speed ya maendeleo, ni heri tupu!! Kumbuka tu hapa tusiongee siasa wala vyama , tuongee reality.
 

Yes in reality progress haiko tht fast hilo nakubaliana..unaona solution ni nn kifanyike
 
kuna sehemu zipo kiholela ila si kila sehemu ipo kiholela,,,,,,,mfano kigamboni karibia asilimia yote ya kigamboni imepimwa......mbali na hapo pia kuna sehemu nyingine nazo zimepimwa na kingine suala la kupima maene si swala rahisi kama vile udhaniavyo....

kingine huwezi kuniambia niache kuangalia miradi inayofanyika angali hapo mwanzo hakukuwa hata na mradi mmoja ambao ulikuwa unaleta taswira ....
hii nchi ni kubwa na inamaeneo mengi sana mbali na dar na zote zapaswa kujengwa kimipango zaidi.....hivyo lazima kila kitu kiende kwa process asilimia kubwa ya tanzania majengo hujengwa na serikali pia na mtu mmoja mmoja tofauti na nnchi zilizoendelea kwani wao wawekezaji ndiyo hujenga zaidi yaani kampuni ama mtu mmoja anaweza kujenga mji kisha nyumba zikauzwa ama kupangishwa..,,na watu ama kampuni lazima ijenge kwa mpangilio
mfano avic town[emoji116] [emoji116] [emoji116]
 
kweli kabisa
 
ficha ujinga wako wako ndugu hizo hotel na stand zitaongeza mapato ya serikali yanayotumika kuboresha huduma za kijamii. au na huduma za kijamii huzifahamu?
 
lini itakua na pinnacle na montave??πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
wazee wa renders au wazee wa ndoto za asubuhiπŸ™„
 
Tunajenga tatu city na konza city lakini sijaskia au kuona wakenya wakijigamba hapa, hizo ni projects ambazo zishaanza tiyari. Na zingine kadhaa bado ziko kwa proposal kama hii yenu.
munajenga ziko wapi??? tatu city nilianza kuiskia almost 6 yrs ago where is tatu city??? where is konza???
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ unatuletea stori za alinacha hapa
 
zikikamilika itawapa boost nakubaliana na hio mkuu ila kusema kuwa ndio itakuwa the most modern city in EA baada ya stendi ya basi sikubaliani...hapo ndio nina tashwishi nayo ila kwa sgr yenu nawapa tick kabisa
hvi jay naomba unioneshe bus stage angalau inayoikaribia hii bus stage?? na ukumbuke hii bus stage iko mpanda sijui hata hio sehem ulishawah iskiaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€






nyingine hii msamvu iko morogoro πŸ™„πŸ™„
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…