Kiba mwenyewe kavuta mkwanja mrefu #trace lakini yupo kimya.
Trace pia wameanza kulipa? Thank u for updates.
Kama mtu kavuta mkwanja mrefu kutambulishiwa tu wimbo bas hao ambao nyimbo zao ziko kwenye top ten watakuwa wanalipwa vizur zaidi.
(kama ni kweli ulichosema😂😉
Trace pia wameanza kulipa? Thank u for updates.
Kama mtu kavuta mkwanja mrefu kutambulishiwa tu wimbo bas hao ambao nyimbo zao ziko kwenye top ten watakuwa wanalipwa vizur zaidi.
(kama ni kweli ulichosema😂😉
Jamaa anaongea kama hana kichwa.
Mkuu mbona mnatumia lugha kali au ni ajabu kwa king kulipwa na trace?
Trace pia wameanza kulipa? Thank u for updates.
Kama mtu kavuta mkwanja mrefu kutambulishiwa tu wimbo bas hao ambao nyimbo zao ziko kwenye top ten watakuwa wanalipwa vizur zaidi.
(kama ni kweli ulichosema😂😉
mbona AY na jide(give me love) nyimbo zao zinapigwa vituo vikubwa afrika ila hawasemi kama huyo boya ila anaweza akatoa hadi pesa huyo ili nyimbo zake zichezwe si mzee wa misifaaa na bado......
Yan apo ulposema tu wmbo wake kaomba uchezwe bet tayar nshakuona hater ye hajaomba ila kapeleka na lazma ujue hakuna msanii wa afrca ambae wmbo wake unachezwa bet bila yy mwnyw kupeleka kaangalie ktk wall ya wzkd ckumbuk n wmbo gan ila yy aliwah kupost ile contract ya bet kama alvofanya dai.
Vannesa mdee jana clouds alsema wasanii wa afrca tuzo za bet wanapewa backstag kwasabab ya time manaake ile event inatumia 2hrs na wadhamini ni america wanaolipa na kwa kuangalia views, maana yangu n kwamba unalipwa kwa wale views wanaoitazama ile video inapochezwa si unajua kuptia digital unaweza kujua wangap wanakiangalia hk kitu kwa sasa
Nani alikudanganya itakuwa released BET? Kwenye ile form uliielewa au ndo division 5 at work! hujui maana ya submission form?
jamaaa anapenda sifa sana yule kwa hiyo jidee itakuwa na yy na AY wanalipwa mpunga mrefu mbona wapo kimya duu ila dai hata akibadilisha viatu anaonyesha mashabiki haya bwana!