Hizi promo nyingine, eti Diamond kalipwa pesa nyingi na BET!

Hizi promo nyingine, eti Diamond kalipwa pesa nyingi na BET!

mimikaye

Member
Joined
Jun 5, 2013
Posts
88
Reaction score
48
Sawa hatukatai video yako ikichezwa unalipwa Ila hizi promo nyingine mnazidisha yani nyimbo kupigwa mpaka mmeomba then leo mna sema tena mmelipwa kisu kirefu.

Mimi sio hater sio team yoyote mi sipendi fix tu wanatufanya wote vilaza. Siku hizi kuna Internet kuweni makini mnavyodanganya public mtajishushia credibility.
 
Wanamsafishia hela zake chafu huyo hana lolote. Wangapi nyimbo za zinapigwa bet na sijasikia wakitangaza kulipwa kisu kirefu....au hiyo video ya d inawaingizia kiasi gani hao bet mpk wamlipe hvy. Acheni promo za kitoto mbele kule kila kitu kiko wazi
 
Wla hainiumi coz mimi sina team wenye timu wako wanacheza dakika 90 huko EPL na bundesliga. Mimi anapenda fact na ukweli sio kupumbaza watu ambao ni wazito kufanya research
 
Muziki wa tz nausikiliza naupenda bila kutaka kujua nani kaimba sina muda wa kumuonea wivu mtu ambae tuko industry tofauti kabisa au ambae hatutakaa tukutane maishani
 
mimihapauk

Mwenzako analipwa we piga majungu tu kamuulize babu tale atakupa ukweli
 
Last edited by a moderator:
Yan apo ulposema tu wmbo wake kaomba uchezwe bet tayar nshakuona hater ye hajaomba ila kapeleka na lazma ujue hakuna msanii wa afrca ambae wmbo wake unachezwa bet bila yy mwnyw kupeleka kaangalie ktk wall ya wzkd ckumbuk n wmbo gan ila yy aliwah kupost ile contract ya bet kama alvofanya dai.

Vannesa mdee jana clouds alsema wasanii wa afrca tuzo za bet wanapewa backstag kwasabab ya time manaake ile event inatumia 2hrs na wadhamini ni america wanaolipa na kwa kuangalia views, maana yangu n kwamba unalipwa kwa wale views wanaoitazama ile video inapochezwa si unajua kuptia digital unaweza kujua wangap wanakiangalia hk kitu kwa sasa
 
Wanamsafishia hela zake chafu huyo hana lolote. Wangapi nyimbo za zinapigwa bet na sijasikia wakitangaza kulipwa kisu kirefu....au hiyo video ya d inawaingizia kiasi gani hao bet mpk wamlipe hvy. Acheni promo za kitoto mbele kule kila kitu kiko wazi

jamaaa anapenda sifa sana yule kwa hiyo jidee itakuwa na yy na AY wanalipwa mpunga mrefu mbona wapo kimya duu ila dai hata akibadilisha viatu anaonyesha mashabiki haya bwana!
 
Wla hainiumi coz mimi sina team wenye timu wako wanacheza dakika 90 huko EPL na bundesliga. Mimi anapenda fact na ukweli sio kupumbaza watu ambao ni wazito kufanya research

mbona AY na jide(give me love) nyimbo zao zinapigwa vituo vikubwa afrika ila hawasemi kama huyo boya ila anaweza akatoa hadi pesa huyo ili nyimbo zake zichezwe si mzee wa misifaaa na bado......
 
dai bwana ana vituko asipoacha sifa tutaona mengi mara kanunua lambogin mara choo 70m katengeneza mara kaenda kwenye harusi ya p square mara kajaza watu kwa lowasa mara singida but lets wait n see if continues what happen ???
 
@pwillo bora uwaambie hao wengi wamezoea kusoma kiu,ijumaa, nk ndio maana domo akingea wala hawajiulizi kazi kushabikia tu
 
jamaaa anapenda sifa sana yule kwa hiyo jidee itakuwa na yy na AY wanalipwa mpunga mrefu mbona wapo kimya duu ila dai hata akibadilisha viatu anaonyesha mashabiki haya bwana!

Ushambiwa ilipigwa n bet wapi jay dee au ay nyimbo zao zimepigwa bet
 
Hawa ndio mwanzo walisema kuwa diamond ndio msanii wa kwanza nyimbo video yake kupigwa bet wakataangaza walivyoambiwa xplastaz kitambo walishawahi wakabaki wamenyamaza coz hawafanyi research wao ni kurukia treni kwa mbele
 
dai bwana ana vituko asipoacha sifa tutaona mengi mara kanunua lambogin mara choo 70m katengeneza mara kaenda kwenye harusi ya p square mara kajaza watu kwa lowasa mara singida but lets wait n see if continues what happen ???

Pwilo mara zote uko negative kwa habar inayomuhusu Diamond,hata kama ana deserve utapinga tu na facts ambazo si za msingi.
Kwangu mim,msanii kujisifia sion kama ni tatizo provided anastahil hizo sifa (Kwa wasanii wa marekani hii ni kawaida na kila mtu hutamba na kuonyesha majivuno ya hali ya juu).Kwa sis tuliosoma fasihi hii inaitwa MAJIGAMBO na ni namna ya kuifanya hadhira iongeze Concentration kwako.

Tatizo kuna uelewa mdogo kuhusu Kuishi ki-Star na maisha ya kawaida ndio hapo mnapochanganya na kutaka huyu dogo aishi kama ni mwimbaji wa Gospel.Mara mwez wa ramadhan,mara anapenda sifa,mara .... Yan kila mtu na kile anachokiona bila kujua kuwa ukichagua kuishi ki-star inakufanya uwe expensive na kibiashara hii target nzur sana. (Ndio mana MayMoney na ManPac hawakulipwa sawa japo walipigana ulingo mmoja).

Kuhusu BET,walimnominate diamond kwenye tunzo na ukiwa nominated kuna wakat nyimbo zako zinakuwa zinapigwa na sio Diamond tu,hata wote wengine akina Davido hii deal wanaijua ila tu ni vile Diamond ndo kaiweka waz na vile anaonekana ni mtu wa kujikweza ndo mana mnapata nguvu ya kubisha.

BET kumlipa msanii ni jambo la kawaida sana na naskitika kuona kuna upinzani unajitokeza juu ya hili,na nikumbushe kwamba hyo amount inaonekana kubwa kwa vile mgao wake pia ni mpana....kwenye hyo pesa kuna percent ya Director,producer n.k....
 
jamaaa anapenda sifa sana yule kwa hiyo jidee itakuwa na yy na AY wanalipwa mpunga mrefu mbona wapo kimya duu ila dai hata akibadilisha viatu anaonyesha mashabiki haya bwana!

Oyaaaaaaaa hakuna wimbo wa ay au jide uliowahi chezwa BET dogooo... Chibu ni chibuuu kubali ukatae
 
mbona AY na jide(give me love) nyimbo zao zinapigwa vituo vikubwa afrika ila hawasemi kama huyo boya ila anaweza akatoa hadi pesa huyo ili nyimbo zake zichezwe si mzee wa misifaaa na bado......

Ndugu, BET ni TV ya Marekani, na kama umemsikiliza babutale alichokiongea ni kwamba hakuna kituo cha TV Africa kinachokulipa wakicheza video yako...
 
Oyaaaa kama foreigner kwenye hizi sector tuachie wajuzi mjombaaa...

Lembe kwa wenzetu ndio mpango yanii, video yako kuchezwa kwenye TV kubwa unaingia mkataba ambapo itapochezwa tu kuna pande unalipata..
 
mbona AY na jide(give me love) nyimbo zao zinapigwa vituo vikubwa afrika ila hawasemi kama huyo boya ila anaweza akatoa hadi pesa huyo ili nyimbo zake zichezwe si mzee wa misifaaa na bado......

Kama anapenda sifa we shida yako nini? Kama unaona anafaidi sana na we penda sifa basi, kama hutaki then let him live his life! Hater
 
Back
Top Bottom