Hizi ripoti huwa haziakisi ukweli. Mimi nikiwa na Tsh 10,000/= nikiichenji tu inakatika ndani ya saa

Hizi ripoti huwa haziakisi ukweli. Mimi nikiwa na Tsh 10,000/= nikiichenji tu inakatika ndani ya saa

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Supu ya buku mbili, mchana buku tatu usiku buku tatu buku teni inakuwa imeisha.

Screenshot_20230215-222710.jpg
 
Supu ya buku mbili, mchana buku tatu usiku buku tatu buku teni inakuwa imeisha.

View attachment 2518711
Hiyo bei ya bidhaa zilizowekwa hapo mbona zikochini sana? Ni wapi huko?
Maana sie tunanunua kg 1 ya dengu tsh 5000, ufuta 5000, mchele 3000, karanga 1kg tsh 6000/
Imefika hatua wauzaji wa rejareja wameamua kuacha kuuza wanasema hazina faida!😔
 
Back
Top Bottom