think center
JF-Expert Member
- Dec 27, 2016
- 485
- 527
Nyimbo ya I miss you, mond kamshirikisha nan??
Diamond bila collabo= Zero (0)
Kwa mnaofatilia mziki mtagundua hilo kua this time diamond can not stand alone.
Sasa hiv amekua ni mtu wa kuhangaika na collabo tu mbaya zaidi ananunua collabo kwa wasanii ambao kweny chat za billboard walishasahaulika.
Mashabiki wake hawalioni hili ndio maana wao kila kukicha utasikia Mond amecollabo na huyu mara amecollabo na yule.
Swali?
Uimara na ubora wa diamond unapimwa na kununua collabo nyingi?
Kwa hali mnayoiona sasa diamond anaweza akasimama peke yake na akatupa burudani kama anayotupa Dogo Aslay?
Imefikia viwango vya Pusha au Natamba?Nyimbo ya I miss you, mond kamshirikisha nan??
[emoji16] [emoji51] [emoji119] [emoji119]
Diamond bila collabo= Zero (0)
Kwa mnaofatilia mziki mtagundua hilo kua this time diamond can not stand alone.
Sasa hiv amekua ni mtu wa kuhangaika na collabo tu mbaya zaidi ananunua collabo kwa wasanii ambao kweny chat za billboard walishasahaulika.
Mashabiki wake hawalioni hili ndio maana wao kila kukicha utasikia Mond amecollabo na huyu mara amecollabo na yule.
Swali?
Uimara na ubora wa diamond unapimwa na kununua collabo nyingi?
Kwa hali mnayoiona sasa diamond anaweza akasimama peke yake na akatupa burudani kama anayotupa Dogo Aslay?
Asley kashafanya show lini angalau hata malawi na mozambique?.
Diamond bila collabo= Zero (0)
Kwa mnaofatilia mziki mtagundua hilo kua this time diamond can not stand alone.
Sasa hiv amekua ni mtu wa kuhangaika na collabo tu mbaya zaidi ananunua collabo kwa wasanii ambao kweny chat za billboard walishasahaulika.
Mashabiki wake hawalioni hili ndio maana wao kila kukicha utasikia Mond amecollabo na huyu mara amecollabo na yule.
Swali?
Uimara na ubora wa diamond unapimwa na kununua collabo nyingi?
Kwa hali mnayoiona sasa diamond anaweza akasimama peke yake na akatupa burudani kama anayotupa Dogo Aslay?
Asley kashafanya show lini angalau hata malawi na mozambique?.
Diamond bila collabo= Zero (0)
Kwa mnaofatilia mziki mtagundua hilo kua this time diamond can not stand alone.
Sasa hiv amekua ni mtu wa kuhangaika na collabo tu mbaya zaidi ananunua collabo kwa wasanii ambao kweny chat za billboard walishasahaulika.
Mashabiki wake hawalioni hili ndio maana wao kila kukicha utasikia Mond amecollabo na huyu mara amecollabo na yule.
Swali?
Uimara na ubora wa diamond unapimwa na kununua collabo nyingi?
Kwa hali mnayoiona sasa diamond anaweza akasimama peke yake na akatupa burudani kama anayotupa Dogo Aslay?
Viwango vya pusha au natamba ? Mkuu upo serious kweli?Imefikia viwango vya Pusha au Natamba?
Good [emoji106] [emoji106] [emoji106]Hujui mbinu za kujitanua wewe!! Forget kwamba unaweza kufanya Bongo Flavor yako huku ukiwa umewashirikisha akina Jux halafu ukatarajia kufika japo hapo Ghana!!
Na kama unadhani anachofanya ni kuuza sura, nadhani mwenyewe umeona 6X Platinum sales. Kwa Recording Labels za South Africa, plain Platinum sales ni 20,000 units na hiyo 6X Platinum sales ina maana hadi sasa ameuza at least 120,000 units!!!
Ukiingia iTune, Marry You inauzwa kwa $1.29; which means, kwa 120,000 units, mauzo ni angalau USD 150,000. Hiyo ni itune peke yake!!! Hujaweka mapato ya Youtube wala caller tunes let alone royalties especially from Kenya!!
Tatizo la Wabongo ndo kama hilo ulilonalo wewe! Wabongo wanaweza kumkosoa mtu aliye kwenye industry husika kwa miaka kadhaa na kuona huyo muhusika hajui lolote lakini yeye ambae hajui hata bei ya mic ndie anafahamu biashara ya muziki!!!!
Sasa kufanya collabo ni sifa?
Dah nampogeza aliyekupa hilo jina....wewe ndo talent boy....maana hakuna kumi bila 0huwezi kufikia 3 kabla 1 na 2 hujazivuka...ngoja kwanza aanze na hawa hawa waliochuja ili at least hao wakubwa wanaohit kwa sasa watambue uwepo wake...kisha naamini atafanya nao tu hao ambao wanahit kwa sasa huko mbele.
All in all,hizi collabo is for business purpose na exposure...tunaimba kiswahili,so ni vigumu sana kusimama peke yako kama solo ukitegemea siku moja mziki wako uje uuzike/usikike nchi za marekani na ulaya.
[emoji16] [emoji51] [emoji119] [emoji119]
Kwanini diamond na kcee na davido hawawezi kusimama peke yao katika muziki.
Lakini watu kama wiz kid, Mr eazi, Tekno, nasty C, Casper nvyovest, wana uwezo mkubwa mno kwa asilimia 80% kusimama wenyewe na wakasound heavy kuliko kawaida.....
[emoji3] [emoji1] [emoji122] [emoji122]
Lakini lazima tumsapoti diamond kwa anachokifanya ipo siku atasimama mwenyewe.
Talent boy u are really talentHuoni kuwa wanatukuzwa katika muktadha sahihi? laiti wangeenda kuwatukuza hao watu msikitini na kanisani hapo ndo ingekuwa tatizo...maana huko ndo sehemu sahihi ya kutukuza hao malaika uliowataja.
Mbona una fikra hafifu sana mkuu! huyo Mungu mwenyewe kamtukuza binadamu kuliko kiumbe chochote alichowahi kukiumba ulimwenguni...!
Tunazungumzia biashara ya muziki. Kufanya colabo na wasanii wa kimataifa kunaongeza popularity jambo ambalo ni muhimu kwa msanii yeyote.Hapa ndipo Diamond anaponiacha hoi, yaani anafanya kolabo na mtu wa nje cha maana wanachokifanya hao watu ni kutaja neon moja tu kama vile 'oooo' 'uuuu' 'waaaa' 'haaaa', 'you know what', 'Hey Yo', wabongo wanaona ujiko, this is beyond stupidity? Unamlipa mtu so much money kuuza sura tu?
Mkuu..ww akili zako zipo kwenye kichogo
Diamond bila collabo= Zero (0)
Kwa mnaofatilia mziki mtagundua hilo kua this time diamond can not stand alone.
Sasa hiv amekua ni mtu wa kuhangaika na collabo tu mbaya zaidi ananunua collabo kwa wasanii ambao kweny chat za billboard walishasahaulika.
Mashabiki wake hawalioni hili ndio maana wao kila kukicha utasikia Mond amecollabo na huyu mara amecollabo na yule.
Swali?
Uimara na ubora wa diamond unapimwa na kununua collabo nyingi?
Kwa hali mnayoiona sasa diamond anaweza akasimama peke yake na akatupa burudani kama anayotupa Dogo Aslay?
Uzuri ni kwamba, wanaotengeneza hizi connection wanafahamu zaidi nini wanafanya kuliko wewe!! Na unavyoonekana uelewa wako ni mdogo kwenye haya mambo ndio maana umefikia kusema "kununua collabo!"Diamond bila collabo= Zero (0)
Kwa mnaofatilia mziki mtagundua hilo kua this time diamond can not stand alone.
Sasa hiv amekua ni mtu wa kuhangaika na collabo tu mbaya zaidi ananunua collabo kwa wasanii ambao kweny chat za billboard walishasahaulika.
Mashabiki wake hawalioni hili ndio maana wao kila kukicha utasikia Mond amecollabo na huyu mara amecollabo na yule.
Swali?
Uimara na ubora wa diamond unapimwa na kununua collabo nyingi?
Kwa hali mnayoiona sasa diamond anaweza akasimama peke yake na akatupa burudani kama anayotupa Dogo Aslay?