Hizi shule za English Medium zimetugeuza Wazazi kuwa Walimu?

Mi mwanangu ananiambia bonju mmmh nasema ndo nini hiyo?? Mother you do know bonju???
Kwishney[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa mimi kifaransa tu ndo kinaniabisha ila mengine kama kawaida tu
 
Mi nimempiga mkwara akija na homework zake aje na text book ya Hilo somo coz majibu lazima yawemo umo. Maana anakawaida ya kuacha vitabu shule. Sitakangi ujinga.
Mimi nilimupa majibu ya urongo na akapewa pato! Nikagundua I am just wasting my money here, waweza jaribu pia
 
Mimi nishakataaga hizo mambo namwangalia mama yao anavopambana .
 
Kuna mtu juzi alituchekesha, alisema yeye hajasoma lazima aoe graduate aje amsaidie kufanya homework za watotoπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wote. Si unaona na ww umepata kamwanga kidogo kuhusu tuberculosis [emoji848]
 
Hahahhaha mimi pia yani nasoma haswa nipo grade 1 na 3 A hatari. Ila pia jifunze kumtengeneza ajue kua anatakiwa asome mwenyewe. Mimj nampa page tatu asome kisha namuuliza maswal kdg inaanza kunipunguzia kazi
Asante sana, japo kijana wangu wa 5 huwa anamsaidia lkn huwa napenda zaidi niwepo...hilo wazo la kumpa page kadhaa asome kisha kumuuliza maswali ntalifanyia kazi...!
 
Kwa kweli ni kero na udharirishaji kwa sisi wazazi tusiosoma yani mwanangu daily homework ngumu lugha ndio sielewi basi inabidi nimsukume kwa jirani akamsaidie uko, Sasa sijui jirani ananifikiriaje[emoji1]
[emoji38] umenichekesha mkuu, wanajua pengine uko na kazi nyingi
 
Kuna mambo madogogo yakukumbushia sio mbaya, ile usiende zaidi kumfanyia kufurahisha kadamnasi ni bora umwache akosee ili mwalimu mjue udhaifu wake na amfunde vizuri.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nakubaliana na wewe 100%.Dogo yupo std 5 nilimuuliza swali la histry f6 kama mzaha tu nione atajibu vipi.

Nilikua suprised aliweza kujibu kwa 90% alafu akamalizia kwa kusema bro mi siwezi sana histry.
 
Kwa hiyo sasa hivi h/w yake anapeleka bwenini.[emoji1787][emoji1787]
 
Dah mzee baba hukusoma geography
 
"Competency based" ndo kifaa cha dudu gani hilo? How do one, become competent to something that he/she is not aware of? We need to pick up these bits of fancy!
 
Kwa hiyo sasa hivi h/w yake anapeleka bwenini.[emoji1787][emoji1787]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Nilisha malizana nae. Juzi kati nimeenda kumtembelea, amesha zoea mazingira.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…