Hizi shule za English Medium zimetugeuza Wazazi kuwa Walimu?

U P D A T E S.
Mwanangu karudi na kilio leo kuwa nmemkosesha,nmejisikia mnyonge sana.
Nawaomba walimu wa English medium mfanye kazi zenu,na pia wazazi tufanye part yetu.

View attachment 1781100
Mkuu, ningependa kujua correct answers za Huyo mwalimu maana siamini macho yangu Huyo dogo alivopigwa Cross hizo
 

Nafikiri kwa maelezo ya watu wote! Wewe mkuu ndiye unaye elewa maana ya home work! Me wa kwangu huwa namuona anaenda chaka kabisa naishia tu kumuangalia! Home work hapewi mwanafunzi ili asaidiwe na mzazi! Bali jukumu la mzazi ni kuhakikisha amafanya home work zote hata akiandika majibu yasiyo sahihi hutakiwi kumuelekeza!
 
Umenena! Mtoto kaniuliza "you doesn't understand " ni kiingereza ? Nikamwambia mwalimu agesema"you don't understand " nikashangaa !!!
 
Aiseee you was in my head....ahsante kwa hii thread ...sijui nisemaje yaani...nasubiri tu kikao Cha wazazi niongee
 
Acha tu

Eti HIV/AIDS
TB
CHOLERA

Darasa la pili


Akija na homework nagoogle hahahahaa
 
Umenigusa vilivyo.
Nina Kipenzi wangu Grade 1 Binti, yaani napata taabu kweli.
Tena Bahati Mbaya Nyumbani napatikana Weekend tu!
Huu Ujinga Muusome English Medium School mnao saana Ujinga huu.
 
Tunapenda wawe na homework lkn iwe kitu walichofundishwa darasani ...Sasa unakuta mtoto hajafundishwa .Matokeo yake tunalipa ada na kufanya kazi yenu ya ualimu...inaboa mno..saa ngapi tutafute hela na saa ngapi tufanye homework...wapeni watoto homework baada ya kuwafundisha...sio kila mtu ana kipaji Cha kufundisha....Mimi ni mkali natamani nifundishe aelewe...nyinyi mna skills na mmesomea
 

[emoji3][emoji3][emoji2][emoji3]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].acha mkuu,sikuhizi tofauti za zamani,ukiwa na kijana mwanafunzi,lazma na ww uwe dent tu,huwez kwepa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…