Katika experience ya jf hakuna uzi umenichekesha kama huu!! Nadhan because it's involve my career, I have 3 years experience in this industry lkn sijawah kukutana na malalamiko ya wazaz khs homework, basically huwa nahakikisha maswali yanatoka within their reach,,, Nita akikisha maswali yote yamefanywa though I don't mind kama amekosa maana hata wrong answer pia ni jibu kikubwa tu mtoto asumbue akili yake kutafuta solution ya jambo at the end of the day itamsaidia Mwanafunz mwenyew,,, kikubwa tu zisiwe too much to extent it become hectic,,, ila ukitaka kujua wazaz wako serious na elimu hebu usitoe homework hamna rangi utaacha kuona kumbe in other side wazaz wako bored namna hii!!!!