Hizi siku mbili tatu sijawa mimi kabisa. Naanza kama hata kuugua

Hizi siku mbili tatu sijawa mimi kabisa. Naanza kama hata kuugua

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Sijaelewa kama kuna mkakati watu wameaunda wa kuamua tu kuwa watulivu? Najitahidi weeeeh sipati wa kumkamua... Nauliza UMUGHAKA upo wapi? Wapi dorothea namugarika wapi dr namugari ?

Dume la nyani nipo tayari kwa vita.... Sioni wapinzani humu.
 
Back
Top Bottom