JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,381
- 9,744
Najua ndugu zangu wa tecno mtakuja hapa na povu kama lote. Ila acha niwaambie tu kwamba hienda hamkuwaza sawa walati mnanunua hivyo vifaa vyenu vya mawasiliano.
Anyway nimechagua kadhaa ambazo ni bei rahisi. Japo zingine zinaweza kuwa refurbished lakini zinaperform vizuri tu.
Watu wengi wanaotumia tecno husema eti ooooh nmelipa hela kidogo, nmepata simu ambayo ina specs kubwa. My friends acha tu niwaambie kwamba huwa mnapigwa. Yes huwa mnapigwa bei kwa kuuziwa simu ya kawaida tu kwa bei ya juu.
Sasa hebu tuone hizo simu.
1. Iphone 6s Plus
Tena variant ya 128GB jamaa wanazuza kwa $214 tu kwa pc moja.
2. Huawei P30 lite
Variant ya 128GB unaipata kwa $197 tu.
3. LG V35 thinq
Hiki chuma kina SD845 camera nzuri na unaweza ukaweka Gcam ukitaka. Inapatikana kwa less than $200.
4. Realme Q
With only $175 unapata hiki chuma.
5. LG V30
Hii Ina SD835 na unaweza kuipata kwa $135 tu tena kwa variant ya 128GB.
6. Apple Iphone SE
Kwa mnaoijua hii simu ni level za Iphone 6s. Yaani hata mwenye iphone 6 hapo hatii mguu. Inapatikana kwa $128 tu tena kwa variant ya 64GB
7. Apple Iphone 7
Variant ya 128GB unaipata kwa around $200.
8. Lenovo K5 pro
Moja kati ya simu ambazo ziko well around basi ni hii lenovo. Around $100 unaweka kuipata kwa variant ya 4GB Ram 64GB of storage.
9. LG G6
Hii ina SD821. Variant ya 32GB unaipata kwa around $80. Halafu hii hii simu ni IP68 yaani ni waterproof.
Aiseee simu zipo nyingi sana kali kuliko hizo tecno zenu halafu kwa bei chee.
Mfano hizo LG zote tatu nilizopost hapo ni IP68 water and dust resistance. Sasa wanaotumia tecno atakuambia mimi simu ambayo haiingii maji ya nini. wakati akiidondosha simu yake kwenye maji bahati inazima mazima anaenda kununua mpya.
Most of hizo simu hapo zinaperform vizuri kwenye mtandao kuliko tecno zenu za Cat 4 kwenye 4G. Mfano hizo LG zinakimbiza sana mtandao. Mfano hiyo LG V35 thinq ni Cat 16 ambapo max download speed kwenye 4G ni 1024Mbps.
Aiseee nmechoka kuandika ngoja nisubiri mapovu yangu kutoka kwa watumiaji wa tecno.
Anyway nimechagua kadhaa ambazo ni bei rahisi. Japo zingine zinaweza kuwa refurbished lakini zinaperform vizuri tu.
Watu wengi wanaotumia tecno husema eti ooooh nmelipa hela kidogo, nmepata simu ambayo ina specs kubwa. My friends acha tu niwaambie kwamba huwa mnapigwa. Yes huwa mnapigwa bei kwa kuuziwa simu ya kawaida tu kwa bei ya juu.
Sasa hebu tuone hizo simu.
1. Iphone 6s Plus
Tena variant ya 128GB jamaa wanazuza kwa $214 tu kwa pc moja.
2. Huawei P30 lite
Variant ya 128GB unaipata kwa $197 tu.
3. LG V35 thinq
Hiki chuma kina SD845 camera nzuri na unaweza ukaweka Gcam ukitaka. Inapatikana kwa less than $200.
4. Realme Q
With only $175 unapata hiki chuma.
5. LG V30
Hii Ina SD835 na unaweza kuipata kwa $135 tu tena kwa variant ya 128GB.
6. Apple Iphone SE
Kwa mnaoijua hii simu ni level za Iphone 6s. Yaani hata mwenye iphone 6 hapo hatii mguu. Inapatikana kwa $128 tu tena kwa variant ya 64GB
7. Apple Iphone 7
Variant ya 128GB unaipata kwa around $200.
8. Lenovo K5 pro
Moja kati ya simu ambazo ziko well around basi ni hii lenovo. Around $100 unaweka kuipata kwa variant ya 4GB Ram 64GB of storage.
9. LG G6
Hii ina SD821. Variant ya 32GB unaipata kwa around $80. Halafu hii hii simu ni IP68 yaani ni waterproof.
Aiseee simu zipo nyingi sana kali kuliko hizo tecno zenu halafu kwa bei chee.
Mfano hizo LG zote tatu nilizopost hapo ni IP68 water and dust resistance. Sasa wanaotumia tecno atakuambia mimi simu ambayo haiingii maji ya nini. wakati akiidondosha simu yake kwenye maji bahati inazima mazima anaenda kununua mpya.
Most of hizo simu hapo zinaperform vizuri kwenye mtandao kuliko tecno zenu za Cat 4 kwenye 4G. Mfano hizo LG zinakimbiza sana mtandao. Mfano hiyo LG V35 thinq ni Cat 16 ambapo max download speed kwenye 4G ni 1024Mbps.
Aiseee nmechoka kuandika ngoja nisubiri mapovu yangu kutoka kwa watumiaji wa tecno.