Hizi simu nzuri sana kuliko hata Tecno, zinauzwa kwa bei nafuum

Hizi simu nzuri sana kuliko hata Tecno, zinauzwa kwa bei nafuum

Aliye toa Uzi huu ,nimgonjwa wa akili hazimtoshi, na akapimwe.

TECNO ni bei cheap sana tena saaana. Hakuna simu ya hakunasimu ya Iphone new full box ipo chini ya laki moja mathalan tukiichukulia Iphone4 new full box.
Naona wee mtoa uzi nimpigaji wa simu fake za hizo kapuni ndomana nakutana na watu anamiliki IPhone kopo tu ndani ni Android
Hili ni povu +wivu, naamini mkuu utakuwa unatumia tecno, yani simu ni Iphone then ndani inatumia android [emoji336]? You must be joking. Hivi unajua tofauti kati ya IOS na Android? Au unajua maana ya OS(Operating System) in relation to hardware?
 
mimi nadhani Samsung waliniwekea kitu.sijawahi amini simu yoyote zaidi ya samsung
Mimi IPhone kuna kitu waliniwekea, mana si bure, pia kuna mtu alinipa pombe na mafuta ya nguruwe huku akitaja jina la tecno, yani nikisikia jina la tecno najisikia vibaya sana afu nadharau. Mtu anayejielewa hawezi tumia simu ya tecno labda beki tatu.
 
kuna kitu unekificha hapo kwa sisi wataalamu wa online shopping tumegundua! ni kwamba umficha shipping fees ambazo zinaweza kuwa kubwa kuliko bei za simu hasa ukitumia aliexpress kama unabisha niletee picha ya iPhone 6 iliyo chini ya laki nne ukijumlisha shipping fees
 
kuna kitu unekificha hapo kwa sisi wataalamu wa online shopping tumegundua! ni kwamba umficha shipping fees ambazo zinaweza kuwa kubwa kuliko bei za simu hasa ukitumia aliexpress kama unabisha niletee picha ya iPhone 6 iliyo chini ya laki nne ukijumlisha shipping fees
Zipo sana
Kumbuka hizo ni simu za mwaka 2013
 
Ushauri murua sana but kuna vitu muhimu hujaweka wazi.
1. Wengi hawafahamu hizi biashara za online
2. Hizo ni figure tu sio bei halisi ya bidhaa husika.
3. Vipi kuhusu shipping cost hasa hiki kipindi cha COVID-19
4. Mzigo umetua bongo hujaongelea wale jamaa wa kodi.
5. Hii ndio inawashinda wengi kusubiri simu/ mzigo more than 21 days.
6. Kupotea kwa parcel japo hutokea mara chache sana.
 
Mimi IPhone kuna kitu waliniwekea, mana si bure, pina kuna mtu alinipa pombe na mafuta ya nguruwe huku akitaja jina la tecno, yani nikisikia jina la tecno najisikia vibaya sana afu nadharau. Mtu anayejielewa hawezi tumia simu ya tecno labda beki tatu.
Man City wanazitangaza! Sasa sijui zinazokuja huku na zinazobaki kule ni tofauti
 
Man City wanazitangaza! Sasa sijui zinazokuja huku na zinazobaki kule ni tofauti

Man city kuzitangaza siyo shida. As far as wanaingiza pesa. Na kama zingekuwa ni simu nzuri basi ungeziona kwenye top 10 ya simu zinazouza sana Ulaya. Lakini hazipo. Wakati kampuni zingine za china kama Xiaomi zinauza Ulaya.
 
Najua ndugu zangu wa tecno mtakuja hapa na povu kama lote. Ila acha niwaambie tu kwamba hienda hamkuwaza sawa walati mnanunua hivyo vifaa vyenu vya mawasiliano.

Anyway nimechagua kadhaa ambazo ni bei rahisi. Japo zingine zinaweza kuwa refurbished lakini zinaperform vizuri tu.

Watu wengi wanaotumia tecno husema eti ooooh nmelipa hela kidogo, nmepata simu ambayo ina specs kubwa. My friends acha tu niwaambie kwamba huwa mnapigwa. Yes huwa mnapigwa bei kwa kuuziwa simu ya kawaida tu kwa bei ya juu.

Sasa hebu tuone hizo simu.

1. Iphone 6s Plus
Tena variant ya 128GB jamaa wanazuza kwa $214 tu kwa pc moja.

View attachment 1462702

2. Huawei P30 lite
Variant ya 128GB unaipata kwa $197 tu.

View attachment 1462713

3. LG V35 thinq
Hiki chuma kina SD845 camera nzuri na unaweza ukaweka Gcam ukitaka. Inapatikana kwa less than $200.

View attachment 1462722

4. Realme Q
With only $175 unapata hiki chuma.

View attachment 1462721

5. LG V30
Hii Ina SD835 na unaweza kuipata kwa $135 tu tena kwa variant ya 128GB.

View attachment 1462720

6. Apple Iphone SE
Kwa mnaoijua hii simu ni level za Iphone 6s. Yaani hata mwenye iphone 6 hapo hatii mguu. Inapatikana kwa $128 tu tena kwa variant ya 64GB

View attachment 1462719

7. Apple Iphone 7
Variant ya 128GB unaipata kwa around $200.
View attachment 1462718

8. Lenovo K5 pro

Moja kati ya simu ambazo ziko well around basi ni hii lenovo. Around $100 unaweka kuipata kwa variant ya 4GB Ram 64GB of storage.



View attachment 1462717

9. LG G6

Hii ina SD821. Variant ya 32GB unaipata kwa around $80. Halafu hii hii simu ni IP68 yaani ni waterproof.

View attachment 1462716

Aiseee simu zipo nyingi sana kali kuliko hizo tecno zenu halafu kwa bei chee.

Mfano hizo LG zote tatu nilizopost hapo ni IP68 water and dust resistance. Sasa wanaotumia tecno atakuambia mimi simu ambayo haiingii maji ya nini. wakati akiidondosha simu yake kwenye maji bahati inazima mazima anaenda kununua mpya.

Most of hizo simu hapo zinaperform vizuri kwenye mtandao kuliko tecno zenu za Cat 4 kwenye 4G. Mfano hizo LG zinakimbiza sana mtandao. Mfano hiyo LG V35 thinq ni Cat 16 ambapo max download speed kwenye 4G ni 1024Mbps.

Aiseee nmechoka kuandika ngoja nisubiri mapovu yangu kutoka kwa watumiaji wa tecno.
Wewe hizo bei bado haija fika bongo ni bei za huko iliko tengenezwa ilete bongo sasa
 
Sijawahi na sitakaa nifanye hiyo kitu maana niliyoshuhudia kwa jamaa aliagiza kitu mzee kikaja baada ya miezi kadhaa
acha woga dunia imeshakuwa kijiji hayo mambo yaliyomtokea mwenzako syo kila mtu humtokea
Binafs niliagiza simu kule aliexpress tena free shipping then ndan ya wiki tatu ikawa imeshanifikia huku mbwinde mabonden
 
Mkuu mimi nafanya sana online shopping,
Hizo simu ni refurbs, pili hizo simu sio global version ni EU version kwahiyo ni nzur kwa kweli lkn pendelea kununua simu global version kwa huku kwetu maana network yenyewe ni ya kuunga unga.
 
Kwanini msiingie AliExpress mkajionea wenyewe... Vitu pale ni vizuri sana.. kila kitu kinaandikwa.. shipping fees ipo wazi... Condition ya bidhaaa ipo wazi... DoM.. unaweza pia soma reviews kabla ya kununua..
 
Kuna hii hapa vipi iko vizuri?
Screenshot_20200607-104143.jpg
 
Back
Top Bottom