JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,381
- 9,744
- Thread starter
-
- #21
Kuliko kutuma hela kwa mtu nisiyemjua bora niagize mzigo mimi mwenyewe AliExpress auu KIKUU maana wako makini na hawana utapeli wa aina yeyote.
Aliye toa Uzi huu ,nimgonjwa wa akili hazimtoshi, na akapimwe.
TECNO ni bei cheap sana tena saaana. Hakuna simu ya hakunasimu ya Iphone new full box ipo chini ya laki moja mathalan tukiichukulia Iphone4 new full box.
Naona wee mtoa uzi nimpigaji wa simu fake za hizo kapuni ndomana nakutana na watu anamiliki IPhone kopo tu ndani ni Android
Sijawahi na sitakaa nifanye hiyo kitu maana niliyoshuhudia kwa jamaa aliagiza kitu mzee kikaja baada ya miezi kadhaaUmewahi agiza simu online? Tuanzie hapo kwanza.
Sijawahi na sitakaa nifanye hiyo kitu maana niliyoshuhudia kwa jamaa aliagiza kitu mzee kikaja baada ya miezi kadhaa
Zinauzwa bei poa kwakuwa nyingi ni 3G na 4G wakati wenzetu wako 5G
Jr[emoji769]
Hao wauzaji ni kina nani? Jana kuna jamaa kaleta thread ya kaibiwa kwa kupenda kitonga cha kununua simu ya bei kubwa kwa bei inaitwa ya karibu na bure.
mimi nadhani Samsung waliniwekea kitu.sijawahi amini simu yoyote zaidi ya samsungHizo picha zote nmetoa Aliexpress...
At least kuna makampuni ya kichina yanakuja juu kupambana na Samsung kwenye specs, design, cameras na price kama oppo, Huaweimimi nadhani Samsung waliniwekea kitu.sijawahi amini simu yoyote zaidi ya samsung
We unazungumzia android 9 watu bado wanazo android 4.4.1At least kuna makampuni ya kichina yanakuja juu kupambana na Samsung kwenye specs, design, cameras na price kama oppo, Huawei
Shida ya makampuni ya kichina hayana guarantee, unaweza kununua simu leo usipate updates milele au ukapata baada ya miaka mingi. Oppo find x ya mwaka jana bado iko na Android 9 wakati watu tunaenda android 11.
Samsung mimi pia waliniroga, disign, display, cameras, updates na kila kitu hasa hizi high end phones, acha kabisa.
Kuna tecno sh 150000 yaani $64 hakuna kama tecno kwenye unafuu wa bei
Zinapatikana bongo hii au mpaka kuiagizia nje?Umeziona hizo simu. Ni cheap kuliko hiyo tecno unayoipigia promo. Tena kama hizo LG ni variant za 64GB. Halafu zina processor za qualcom.
View attachment 1467377View attachment 1467378View attachment 1467379
Inategemeana na muuzaji, inaweza ikawa elfu kumi au chini ya hapo au freeNajiuliza tu kama nimenunua us$100 mpaka inifikie kutakuwa kumeongezeka $?
Hizi zitakua ni refurbished hasa hizo xperia.je ushawahi kununua refurbs za simu toka aliexpress na ukaitumia bila magumashi yoyote kwa angalau mwaka na nusu/miwili na je wanawekaga na charger original za simu husika kwenye package wanayokutumia?Umeziona hizo simu. Ni cheap kuliko hiyo tecno unayoipigia promo. Tena kama hizo LG ni variant za 64GB. Halafu zina processor za qualcom.
View attachment 1467377View attachment 1467378View attachment 1467379
Safi sana jibu zuri kalipata we bado unanunua simu bongoUmewahi agiza simu online? Tuanzie hapo kwanza.