Hizi status za WhatsApp balaa!

Hizi status za WhatsApp balaa!

Wengi huhisi wanapunguza stress kwa njia hiyo ila ndo kwanza anachochea akichek upande wa pili nao umejibu kwa kejeli
 
Mimi najua ya "Kill them with smile, burry them with success"
Mbona ya kawaida sana?
Acha ushamba wewe.
Mimi wanaonikera ni wale waswahili kutwa vijembe.
Aiseee kuna watu wana maneno hatariiii.
 
Mimi najua ya "Kill them with smile, burry them with success"
Mbona ya kawaida sana?
Acha ushamba wewe.
Mimi wanaonikera ni wale waswahili kutwa vijembe.
Aiseee kuna watu wana maneno hatariiii.
Wale wanaogombania mabwana ndo wana status hatarii...Wanachamba palee
 
Wale wanaogombania mabwana ndo wana status hatarii...Wanachamba palee
Kuna shoga yangu huyo ni school mate wangu wa O level, nilikuwa sijui kama ana maneno vile!
Hadi namuogopa!
Huyo anayegombea nae bwana mbona ana kazi?
Natamani ningewapata wote (na mgombezi mwenzie)
 
Hivi WhatsApp mtu anatakiwa aweke status ya aina gani hasa kama ni mwenye staha?

Ni mimi tu ambaye labda siendi na mwendokasi au inakuwaje?

Nachungulia status ya mdada mmoja hapa inasomeka hivi "Kill them with success and bury them with a smile".

Tunaouwawa na mafanikio yake ni sisi sote ambao tupo kwenye contact book yake au kuna walengwa?

Ni kawaida na nyie mnakutana na hizi status wakuu? Hebu tupia moja kama kweli!
mimi nikipata muda huwa napitia status zote kwenye contact..kupitia hizo status naweza kufahamu feelings za mtu
 
Back
Top Bottom