Hizi takwimu zinaonyesha kuwa Dar ndiyo kila kitu nchi hii

Hizi takwimu zinaonyesha kuwa Dar ndiyo kila kitu nchi hii

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Kwa tunaotangazaga biashara mitandaoni tutakuwa tumeshuhudia hili. Zaidi ya asilimia themanini ya wateja wa mitandaoni wanatoka Dar. Hii inaonyesha ni jinsi gani Dar ilivyoiacha mmbali mikoa mingine yote. Hizi hapa ni takwimu za matangazo ya biashara instagram.

Screenshot_20231018-203811.png
 
Kwa tunaotangazaga biashara mitandaoni tutakuwa tumeshuhudia hili. Zaidi ya asilimia themanini ya wateja wa mitandaoni wanatoka Dar. Hii inaonyesha ni jinsi gani Dar ilivyoiacha mmbali mikoa mingine yote. Hizi hapa ni takwimu za matangazo ya biashara instagram.

View attachment 2785821
Uko sahihi. Pale Instagram, ukitumia promotion ads za kulipia, wateja wengi ni wa dsm.

Sema nowadays hadi dar wamekaukiwa maokoto. Ila ile miezi mitano kabla ya 6 ilikuwa ni moto.
 
Uko sahihi. Pale Instagram, ukitumia promotion ads za kulipia, wateja wengi ni wa dsm.

Sema nowadays hadi dar wamekaukiwa maokoto. Ila ile miezi mitano kabla ya 6 ilikuwa ni moto.
Uchumi unazingua. Wavizie mwisho wa mwezi. Weka bajeti kubwa kwa wiki moja wanayokuwa na hela. Siku zingine kavu sana
 
Yaani mnafananisha dar na mikoani? Acheni huo utoto.

Ukimuuliza mtu wa mkoani uber ni nini????
Hakika hawaelewi lolote
 
Back
Top Bottom