Hizi tetesi za kinana yupo kenya ni za kipuuzi

Hizi tetesi za kinana yupo kenya ni za kipuuzi

KennedyMmari

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2012
Posts
979
Reaction score
187
Kwanza ya yote niseme mimi ni mwanachama halali wa CDM...hivyo kwangu mimi CCM ni adui namba moja....Lakini kukaa chini na kusema kuwa Kinana anachakachua kura huko kenya ni hoja mufilisi na isiyo na mashiko......Kinana hana influence yoyote wala ability ya kuwachakachua wakenya ambao ni wajanja kuliko mambulula wa Tanzania....anaiba kwa kutumia mfumo upi..??na kwa uzoefu upi???

CIA na FBI hadi sasa wameshindwa kumuweka kibaraka wao Raila,seuze Kinana ambaye hata ufanisi ndani ya chama chake ni mdogo...
tuache hizo
 
Hiyo thread title yako haiko sawasawa........Kinana yupo (au alikuwepo) Kenya
 
Kwanza ya yote niseme mimi ni mwanachama halali wa CDM...hivyo kwangu mimi CCM ni adui namba moja....Lakini kukaa chini na kusema kuwa Kinana anachakachua kura huko kenya ni hoja mufilisi na isiyo na mashiko......Kinana hana influence yoyote wala ability ya kuwachakachua wakenya ambao ni wajanja kuliko mambulula wa Tanzania....anaiba kwa kutumia mfumo upi..??na kwa uzoefu upi???

CIA na FBI hadi sasa wameshindwa kumuweka kibaraka wao Raila,seuze Kinana ambaye hata ufanisi ndani ya chama chake ni mdogo...
tuache hizo
Usingetiririka povu kiasi hiki, unaweza kuumia bure, simpo ungesema Kinana hayuko Kenya Bali yuko hapa au pale topic kweisha.. Sasa kusema temboman haiko Kenya Na hujui iko wapi is insane.. Tuweni wastaarab tukitaka kudefend Hoja SIO kuleta Hoja juu ya Hoja inachosha..
 
Badilisha kichwa cha habari kiwe Kinana hawezi kuchakachua matokeo Kenya, maana ni kweli yupo kenya kwenye jopo la wasimamizi kutoka East Africa.
 
Hivi huko Kenya,Kinana anaiwakilisha CCM au Tanzania?
 
humjui kinana wewe, ngoja utakapo sikia tembo 100 wamepotea kenya ndo utarudi hapa ufute huu ----- wako...
 
Kwanza ya yote niseme mimi ni mwanachama halali wa CDM...hivyo kwangu mimi CCM ni adui namba moja....Lakini kukaa chini na kusema kuwa Kinana anachakachua kura huko kenya ni hoja mufilisi na isiyo na mashiko......Kinana hana influence yoyote wala ability ya kuwachakachua wakenya ambao ni wajanja kuliko mambulula wa Tanzania....anaiba kwa kutumia mfumo upi..??na kwa uzoefu upi???

CIA na FBI hadi sasa wameshindwa kumuweka kibaraka wao Raila,seuze Kinana ambaye hata ufanisi ndani ya chama chake ni mdogo...
tuache hizo

Hivi unaugomvi gani wewe na wazungu? Ama huna sifa za kwenda kwao angalau kung'aza macho tu ndiyo maana unawachukia sana ki hivyo? Uwe mpole!!!!!!!!!!!
 
Ungeweza kuandika maelezo yako hayo bila kuitaja Chadema na hata CCM pia.
 
Haibadilishi maana....kwa yeyote aliyesoma content ameelewa....Sijakataa kama kinana yupo kenya...lakini kuwepo kwake kenya hakuwezi kuleta impact yoyote kwenye uchaguzi...niambie kaenda kuiba meno ya tembo...siwezi kubisha...lakini hii ya uchaguzi haipo sawa hata kidogo
 
Kwanza ya yote niseme mimi ni mwanachama halali wa CDM...hivyo kwangu mimi CCM ni adui namba moja....Lakini kukaa chini na kusema kuwa Kinana anachakachua kura huko kenya ni hoja mufilisi na isiyo na mashiko......Kinana hana influence yoyote wala ability ya kuwachakachua wakenya ambao ni wajanja kuliko mambulula wa Tanzania....anaiba kwa kutumia mfumo upi..??na kwa uzoefu upi???

CIA na FBI hadi sasa wameshindwa kumuweka kibaraka wao Raila,seuze Kinana ambaye hata ufanisi ndani ya chama chake ni mdogo...
tuache hizo

Inaonyesha una masirahi binafsi
 
Hivi unaugomvi gani wewe na wazungu? Ama huna sifa za kwenda kwao angalau kung'aza macho tu ndiyo maana unawachukia sana ki hivyo? Uwe mpole!!!!!!!!!!!

nikitaka kuangaza macho niniweza kwenda gombe au serengeti lol
 
huwezi kumtetea mtu mmoja na kutukana watanzania wote utakuwa umekosa adabu ,futa kauli yako ya watanzania ni mbulula
 
Haibadilishi maana....kwa yeyote aliyesoma content ameelewa....Sijakataa kama kinana yupo kenya...lakini kuwepo kwake kenya hakuwezi kuleta impact yoyote kwenye uchaguzi...niambie kaenda kuiba meno ya tembo...siwezi kubisha...lakini hii ya uchaguzi haipo sawa hata kidogo

we mburula kweli,kwa hiyo hata alivyoiba meno ya tembo mbona hukumtetea,mwizi anasemaga kuwa anaiba?umevurugwa?
 
Kwanza ya yote niseme mimi ni mwanachama halali wa CDM...hivyo kwangu mimi CCM ni adui namba moja....Lakini kukaa chini na kusema kuwa Kinana anachakachua kura huko kenya ni hoja mufilisi na isiyo na mashiko......Kinana hana influence yoyote wala ability ya kuwachakachua wakenya ambao ni wajanja kuliko mambulula wa Tanzania....anaiba kwa kutumia mfumo upi..??na kwa uzoefu upi???

CIA na FBI hadi sasa wameshindwa kumuweka kibaraka wao Raila,seuze Kinana ambaye hata ufanisi ndani ya chama chake ni mdogo...
tuache hizo

Unakataa nini sasa? Hujui kuwa dagaa mboga kuku mbwembwe? Silaha pesa bastola mzigo, heshima pesa shikamoo ni kelele, Upara bila elimu ni kovu.
 
Kwanza watake radhi watanzania kwa kuwaita mambulula, shenzi zako. Hili ni tatizo la watu waliozaliwa chooni. Unalaana sana wewe mpumbavu mkubwa! Leta hoja zenye weredi na sio kutukana taifa na watu wake.
 
humjui kinana wewe. unadhani kwa nini wamemtoa mbulula ukatibu mkuu ccm na kumweka kinana?
 
Kwanza watake radhi watanzania kwa kuwaita mambulula, shenzi zako. Hili ni tatizo la watu waliozaliwa chooni. Unalaana sana wewe mpumbavu mkubwa! Leta hoja zenye weredi na sio kutukana taifa na watu wake.

mpumbavu utamjua kwa maneno yake
 
Back
Top Bottom