Hizi tetesi za kinana yupo kenya ni za kipuuzi

Hizi tetesi za kinana yupo kenya ni za kipuuzi

Sasa huoni haja ya kuendelea na masomo, ili kukuza uelewa wako?????

furthermore...sijui kabisa elimu ya mtu inahusika nini katika kumjenga kiakili...hasa elimu ya kitanzania....nicolas maduro anayetarajiwa kumrithi hugo chavez kaishia form six....hiyo haitoshi,jacob zuma hajawahi kwenda shule kabisaaaa...sasa sijui kama kuna mchango wa elimu katika kila kitu
 
Back
Top Bottom