Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni tetesi tu za wanaopenda kupata mileage mitandaoni. Hakuna ukweli wowote so far.Kumekuwa na tetesi viungani kwamba Lissu kaamua "kurusha taulo" na anaomba refa amalize pambano, kulikoni?
Atakuwa amefanya jambo la maana!Kumekuwa na tetesi viungani kwamba Lissu kaamua "kurusha taulo" na anaomba refa amalize pambano, kulikoni?
Hiyo scenario itakuwa nzuri. Na Mbowe naye ajiondoe wampe Heche watakuwa wamewapiga suprise kubwa maadui!Kumekuwa na tetesi viungani kwamba Lissu kaamua "kurusha taulo" na anaomba refa amalize pambano, kulikoni?
Kwamba anataka Wenje ajiondoe kugombea umakamu, na yeye ajiondoe kwenye uenyekiti arudi kwenye umakamu
Lisu siyo mjingaKumekuwa na tetesi viungani kwamba Lissu kaamua "kurusha taulo" na anaomba refa amalize pambano, kulikoni?
Kwamba anataka Wenje ajiondoe kugombea umakamu, na yeye ajiondoe kwenye uenyekiti arudi kwenye umakamu
Ni za kweli,kama huamini,msikilize yeye mwenyewe,akiongeaKumekuwa na tetesi viungani kwamba Lissu kaamua "kurusha taulo" na anaomba refa amalize pambano, kulikoni?
Kwamba anataka Wenje ajiondoe kugombea umakamu, na yeye ajiondoe kwenye uenyekiti arudi kwenye umakamu
Tetesi za Lumumbani 😂Kumekuwa na tetesi viungani kwamba Lissu kaamua "kurusha taulo" na anaomba refa amalize pambano, kulikoni?
Kwamba anataka Wenje ajiondoe kugombea umakamu, na yeye ajiondoe kwenye uenyekiti arudi kwenye umakamu
Sio kweli. Aliahidi kugombea Umakamu Mwenyekiti na akachukua fomu. Ghafla akautaka Uwenyekiti. Ebu tueleze ndivyo watu wa misimamo walivyo?LISU NI MTU WA MISIMAMO SANA.
hizo tetesi zinaletwa na ule upande unaotoa nusu mkate,bado ngoma mbichi Lisu hakuna kujitoaKumekuwa na tetesi viungani kwamba Lissu kaamua "kurusha taulo" na anaomba refa amalize pambano, kulikoni?
Kwamba anataka Wenje ajiondoe kugombea umakamu, na yeye ajiondoe kwenye uenyekiti arudi kwenye umakamu
Hii video ni ya liniNi za kweli,kama huamini,msikilize yeye mwenyewe,akiongea
Kwa kuwa ndivyo unavyotaka eeh!!, Wala asusi mtu hapa.Atakuwa amefanya jambo la maana!