Hizi teuzi na tenguzi zimetosha, tujadili kipi tuache kipi?

Hizi teuzi na tenguzi zimetosha, tujadili kipi tuache kipi?

tatizo lako,una chuki na majibu mfukoni,hujui repoti za cag zikoje,sheria za nchi zikoje,ni kulaumu kila kitu
Labda wewe unaweza Kunipa majibu,

Juzi tumepokea ndege mpya, wakati huo huo Kuna ndege zimepaki hazifanyi KAZI,

CAG anaripoti ATCL inaendeshwa Kwa HASARA,

Hivi hata kama ungekuwa wewe ndiye mlipakodi ungeelewa nini?

Waziri wa uchukuzi anayehusika huko na Bandari ni huyo huyo kwanini Yeye haguswi na hizi teuzi na tenguzi?

Karibu🙏
 
unavibrate sana ee 🐒

na bado, Lazima TZ ipige hatua kimaendeleo bana, tumechelewa sana 🐒

so,
mabadiliko ya uongozi ndani ya chama na serikalini yataendelea kufanyika ili kuimarisha utendaji katika chama na serikali na hatimae madhumuni ya kuwaletea wanainchi maendeleo yaweze kufikiwa kwa uhakika na kwa wakati muafaka 🐒
Ila ccm Kwa spinning ni hatari sana hiki chama chetu!!japo ni spinning za kijinga ambazo hazina Afya Kwa taifa la salsa na lijalo!!

Huko Arusha olesendeka eti kapigwa risasi halafu ghafula makonda Kawa mkuu wa mkoa wa Arusha!!Sasa sijui wanataka kusemaje !kwamba makonda anaenda kuendeleza kundi la wasiojulikana Arusha!!?

So sad!
 
Salaam, shalom!!

1. Tulipokuwa tukisubiri kupokea Mikataba mliyoiita HGA ya mkataba wa Bandari mlisema mikataba hiyo itakuwa wazi italetwa na kujadiliwa bungeni, hatujakaa sawa, tukasikia mikataba imeshasainiwa huko Dodoma kimya kimya na siku hiyo hiyo akateuliwa Katibu Mwenezi wa chama tawala!!
Tukaachana na Bandari, tukaanza kumjadili kijana machachari.

2. Tuliambiwa na Rekodi ziko humu kuwa, wafanyakazi wa bandarini ajira zao hazitaguswa ajapo DP world, Cha kushangaza wameambiwa wachague kusuka au kunyoa, tukiwa Bado tunatafakari hayo, ghafula tunasikia ndugu zetu huko Zanzibar wanacharazwa bakora Kwa kosa la kula chakula Chao peupe!!

3. CAG analeta Ripoti mezani, mara tunasikia hati chafu zote zimekuwa safi Kwa 99%, tunaambiwa mashirika yote yanepata HASARA, pesa ni za mikopo na mkopo ndo kwanza hata robo hatujalipa.

Tukiwa tunatafakari hayo, ghafula tunasikia uteuzi na utenguzi, Mwenezi ghafula Kawa mkuu wa mkoa Arusha,Mara waziri kawekwa pembeni.

Mimi najiuliza, tujadili kipi tuache kipi?

Rais Mstaafu KIKWETE: Nchi haipoi kama ugali!!

Nchi yangu Tanzania nakupenda sana , Ubarikiwe, Nitaendelea kukuombea.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Pasaka njema.

Karibuni 🙏
Cc.P,mwamba kakusahau😀
 
Taifa hili halina Rais bali mtu aliyepewa madaraka,ambayo hawezi ni aibu ndani ya miaka 3,Kazi ya Rais inakuwa tengua na teua.

Shida kubwa ya wapumbavu ni kushindwa kutambua upambavu wao.
 
Taifa hili halina Rais bali mtu aliyepewa madaraka,ambayo hawezi ni aibu ndani ya miaka 3,Kazi ya Rais inakuwa tengua na teua.

Shida kubwa ya wapumbavu ni kushindwa kutambua upambavu wao.
Mwaka wa wa nne huu, teua tengua,

Ukitafuta TIJA ya hao wanaohama Kila kukicha haionekani.

Wananchi wataamua.
 
Usicheze na kitita(kikapu) cha Mwarabu.
Teuzi na teuzi za kimchongo!!

Hazilengi kuipunguzia kero Mwananchi kama bima za wachanga kufutwa, bima kukataliwa hospitalini, mtihani wa vikokotoo, kukosekana Kwa maji mijini nk nk
 
Back
Top Bottom