mexico 1980
Member
- May 15, 2015
- 68
- 50
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoa mada ameishia kuisifia TuNgoja aje pureView Zeiss
Duniani hatuwezi kupenda kitu kimoja, mwingine anaona gari ya kishamba na mwingine anapigana anunue ni kama vile watu wengi tunaiponda Passo huku mtu mwingine anawaza ataipata liniNyuma ina umbo zuri ila mbele ipo kama kambale, Dashboard sijui wamemgeuzia abiria ndio awe anaangalia badala ya dereva
Ile ya pande za Geita?Of course yes....[emoji6]
Lakini kali zaidi ni TOYOTA LAND CRUSER XVR..[emoji23][emoji23]
View attachment 1657036
hiyo camera ni simu gani?singsun au itel?Rumion ziko poa Sana hasa Kwenye space yake, performance yake iko poa na inachanganya mapema mno..
kama unataka kununua ni Bora uagize mwenyewe kutoka Japan kuliko kununua hapa bongo maana bei yake iko juu tofauti na uhalisia,hizi ni gari ambazo tunatamba nazo mjini ndiyo maana wafanyabiasha wa Magari wamepandisha bei
Pengine hujui jinsi ya kuangalia picha hapa jf....hiyo camera ni simu gani?singsun au itel?
Naam shekh...😂Ile ya pande za Geita?
Sasa ndio mpk unichambe Mkuu si ungenielewesha tu kwa upendo?Pengine hujui jinsi ya kuangalia picha hapa jf....
Sikuhizi picha zinakuja Kwa style hiyo mpaka uguse tena na picha itafunguka yenyewe...
Siku nyingine uliza Kwanza kabla ya kutoa comments
Umekutana na mzaramu ndugu yake hata akikusalimia anakuchamba kwanzaSasa ndio mpk unichambe Mkuu si ungenielewesha tu kwa upendo?
Kuna gari zinazotisha duniani!
Mkuu, unanikosea adabu wallah....☹️☹️Kuna gari zinazotisha duniani!
Ndugu Yangu Mimi ni mtu mzima Bana siwez kufanya ubaya kwako!!!Sasa ndio mpk unichambe Mkuu si ungenielewesha tu kwa upendo?
Snail