kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,257
- 12,244
Kama umewahi kutumia ractis G package ,ndivyo ilivyo ila tofauti ni body tuNasikia ni kali balaa. mwenye kuelewa performance yake atuambie.
c.f.. RRONDO
View attachment 1657415
Toyota Rumion
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama umewahi kutumia ractis G package ,ndivyo ilivyo ila tofauti ni body tuNasikia ni kali balaa. mwenye kuelewa performance yake atuambie.
c.f.. RRONDO
View attachment 1657415
Toyota Rumion
Ndio kiumbe mwenye mwendo taratibu, na anaacha uteleziSnail
Ni balaaaNdio kiumbe mwenye mwendo taratibu, na anaacha utelezi
Kwanini?ila sijaipenda hio gari
Basi tu shape yake naona hainivutii mkuu, kwa nyuma ni kazuri ila usoni kananiboa.Kwanini?
Kweli kabisa kakaBasi tu shape yake naona hainivutii mkuu, kwa nyuma ni kazuri ila usoni kananiboa.
Nasikia ni kali balaa. mwenye kuelewa performance yake atuambie.
c.f.. RRONDO
View attachment 1657415
Toyota Rumion
Pole mkuuNimekula nako mzinga juzi kati, kamevingirika mara kadhaa thanks God tumetoka wote salama.. Ni kigari kizuri space ndani kubwa, kinakula mafuta vizuri changu ni 1.8 CC na kinachanganya fasta.
Sometimes kama hujui kitu ni Bora unyamaze Tu kwani CVT transmission IPO Kwenye rumion pekeyake?Sina uzoefu nako sana ila ninachojua kanagear box CVT So ukikanunua usikae nako sana katakutesa maana CVT gear box bongo ni pasua kichwa
Hiyo facelift yake ilinifanya ninunue Kwa moyo Safi kabisaaa!!Basi tu shape yake naona hainivutii mkuu, kwa nyuma ni kazuri ila usoni kananiboa.
HahahaUmekutana na mzaramu ndugu yake hata akikusalimia anakuchamba kwanza
Gari za Wazanzibar hizi mkuuBasi tu shape yake naona hainivutii mkuu, kwa nyuma ni kazuri ila usoni kananiboa.
Kanachanganya fasta kumbeHiyo facelift yake ilinifanya ninunue Kwa moyo Safi kabisaaa!!
Barabaran inatembea balaa hasa Kwenye kuchanganya mapema iko vizuri Sana au kama mtu wa league njiani unaipa Kwenye sports mode hapo ni sekunde kadhaa Tu Ngoma inacheza Kwenye speed 100
Sports mode hiyo hapo ni mwendo wa kuwasumbua wenye babywalkerKanachanganya fasta kumbe
Mkuu ina maana rim size 18 bado ilikuwa chini? Mwenyewe nataka kubadilisha rim niweke za size 17 na tairi size 215 kwasabb kuna jamaa amefunga hiyo size na gari IPO juu pia wengi wanaongezea na spacer ya inch 1Hiyo gari ni nzuri sana ila hapo mbele chini ya bampa wameikosea sana kama unapita kwenye barabara mbovu lazima iguse chini , yangu niliifunga sports rim za inch 18 nikajua itakuwa juu lkn wapi niliuza huku naipenda