Tetesi: Hizi tuhuma ni nzito sana, kama ni kweli, hii ‘chain’ itapeleka wengi gerezani kwani ni sawa na uhaini


Jitu liongo kama mbweha!

No evidence of any kind!

Liserikali ni jitu kama tembo linaonea kasisimizi bila huruma!

Majinga ni majinga!

Na sisi si watoto,mnapoteza muda wenu kuandika upumbavu humu wa kipropaganda!

Jinga kabisa!
 
Asee very low story ikiwa unashindwa kumtaja huyo mwinge hata hayo makampuni hii habari yako itakuwa rubish ni mwehu tu anaweza kuamini huu uzushi wako
 
Absolutely trash
 
Hujui ukioneaacho pia humjui vema alikwambia ni muongo wa kutupwa ila kwakuwa mnaajenda ya kudhoofisha mnatengeneza story
 
Kama ulichoa dika kina ukweli nashawishika kusema vyombo vyetu vya usalama ni bure.
Jambo hili lingeshughulikiwa kwa weledi uliotukuka hadi yeye na genge lake na wanaomtumia wafurahi
Lakini sasa sijui kwakuwa maofisa wetu huwa wale failure skuli
Kama ni uongo serkali na vyombo vyake wanatenda jambo hatarishi
 
Hovyooooo
 
Nonsense! Teuzi zishaisha sasa hivi, umechelewa
 

Popomo
 

Akili za MaCCM hata paka hawezi kuwa nazo!

Sasa hapo ndo umepoteza data kweli kuandika upupu huu na unajiipiga kifua hapo ulipo eti umejenga hoja?

Yaani kwa akili hizi ni halali Jeshi la Polisi kukisaidia CCM!
 
Taifa fulani mtu kama huyo angekuwa ameshaoza zaman sana. Ndio maana lile. Kundi limepunguwa? Asante sana bado mmoja.
 
Wanahakikisha wanakwamisha juhudi zote za mheshimiwa kupitia mitandaoni!!!?

Kama kazi anazofanya zinaonekana hofo ya kukwamishwa kelele tupu za maandishi ya mitandaoni inatokea wapi?
 
Haya yote ulikuwa unayajua. Uliamua kunyamaza kwa faida ya nani? Mzalendo unajiita! Ulikuwa unanufaika, si bure. Mambo yameparaganyika. Pay master halioni jua.
Nani anaweza kuamini stori hafifu kama hii. Nenda shule ukajifunze logic. Hapa hamna kitu. Hiki ni kiwango cha kkk! Muda mrefu anafanya hayo mnaangalia tu. Hamuoni aibu kudai mlikuwa mnakusanya data! Si mnazo tayari! Hakimu angejulishwa kukamilika kwa upelelezi. Kesi kama si leo kesho ingeanza. Kinyume chake ndicho mmeweza. Upelelezi bado. Tutasikia mengi. Faili limemtembelea DPP. Likitoka huko linajificha kupumzika. Faili halionekani. Likionekana hakimu hayupo. Ana udhuru. Wakichoka au kuona aibu, DPP anatangaza kukosa nia ya kuendelea na shauri. Nolle Proseque!
 
Unapomwambia mtoa mada ni muongo, yakupasa wewe ueleze ukweli juu ya jambo unalolibishia.

Ila hizi fujo za kuzomea, "muongo" bila kiunganishi cha neno, ninapata dhana kuwa yasemwayo na mwandishi yana ukweli, kwamba ....'wanapewa fedha za vocha na kuwa kama mbogo aliyejeruhiwa na kuanza kutukana na humu jf wamo....'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…