Ni tabu tupuu...kila kitu watu wanataka kupiga hela...wachezaji wengi hawapo kwny tuzo..wamepokelewa hili nalo linaondo mvuto aiseeMvuto ni zero kabisa sijajua ni nchi Haina event planners au shida ni nini!?
Mediocrity everywhere π€£Aibu sana hadi wanapeana banter za "acha uoga"
Tena inaonesha walioenda kuchukua hata hawana uhusiano na mchezaji Wala team ni kama unaenda unachukua Kisha unarudisha kwa tffNi tabu tupuu...kila kitu watu wanataka kupiga hela...wachezaji wengi hawapo kwny tuzo..wamepokelewa hili nalo linaondo mvuto aisee
Shakira hawezi kabisa maana hajaimba ni ka dance kama tu zile challengeUyu dada anaeimba hii wakawaka mfano Shakira akimsagia kunguni hawezi kulia kweli au imekaaje hii kuperform nyimbo za wenyewe[emoji2]
Ni upuuzi tuu kwakweli...TFF wanakula tuu hela za clubs...hawaboreshi lolote...Tena inaonesha walioenda kuchukua hata hawana uhusiano na mchezaji Wala team ni kama unaenda unachukua Kisha unarudisha kwa tff
Kisha tuzo ya mfungaji Bora hata sio kiatu wanazidiwa na kombe la bona kalua
Walisema hawakujiandaa Sasa hapa wamejiandaa au wamejitandaza?Wanakosea Kila mara, hawajajiandaa, tuzo z kienyeji kweli kweli
Uliona wapi tuzo za msimu uliopita zinatolewa karibu na tarehe ya msimu mpya? Wenzetu hata kabla au match za mwisho wa msimu wanagawa na tuzo kabisa ili team zikajiandae na msimu mpya, huku hadi mshindi wa tatu imewekewa fainali πHahahahah ukiona hivyo hazina msisimko...πππ
I was thinking the same thing hata round table,Ngoja tumuangalie aziz na escorter wake the Dome wamekosa hata kuweka round table watu wanakaa kama form four B
Tuzo zina pesa au kuuza sura tu??Ni tabu tupuu...kila kitu watu wanataka kupiga hela...wachezaji wengi hawapo kwny tuzo..wamepokelewa hili nalo linaondo mvuto aisee