Jamii forum imesheheni watu wengi wa caliber tofauti kuna madaktar humu
Ipo hivi last salary kwa wife ilikuwa ilikuwa tar 28 mwezi wa 11 then kamaliza net pay tar 2 mwezi wa 12 ,
Sasa kimenishangaza baada ya kuona dalili zote kuwa ni mjamzito ,kaenda hospital kuanza clinic ambayo kaenda tar 23 mwezi wa kwanza ila kule nesi kaandika
Kuwa ujauzito ni wiki 8
Sasa najiuliza hizi wiki nane zimefikaje hapa
Mbona kama mahesabu hayaendi sawa
Katumia kikokotoo gani ?
Au kuna njia gani zinatumika kujua umri wa mimba kwa makadio.?
Then kamuandikia expectation ni tar 4.9.023
Je yupo sahihi au kakosea ?
Mana tangia kumaliza tar 2 mwezi wa 12 hadi tar 23 mwezi wa kwanza bado hata miezi miwili haijafika lakin kule nesi kaandika wiki 8 ambazo ni sawa na miezi miwili??..
Wajuvi mnasemaje?