Kama umetembelea kidogo mikoa mbalimbali utagundua hili
Makambako kubwa kuliko Njombe
Kaliua kubwa kuliko Tabora
Mafinga kubwa kuliko Iringa
Kahama kubwa kuliko Shinyanga
Tunduma kubwa kuliko Songwe
Katoro kubwa kuliko Geita
Ongeza wilaya nyingine
..............
USSR
Hata Nzega haijaipiku Tabora mkuuKaliua Kwa tabora!?..unazijua hizo sehemu!?..Mara mia ungesema nzega Kwa tabora,Dodoma mwaka 2006 ilikua haiifiki nzega Kwa ukubwa na uzuri,mji wa tabora ukipenyo Cha 25km toka magharibi Hadi mashariki
tarime kubwa kuliko musomaKama umetembelea kidogo mikoa mbalimbali utagundua hili
Makambako kubwa kuliko Njombe
Kaliua kubwa kuliko Tabora
Mafinga kubwa kuliko Iringa
Kahama kubwa kuliko Shinyanga
Tunduma kubwa kuliko Songwe
Katoro kubwa kuliko Geita
Ongeza wilaya nyingine
..............
USSR
Kondoa - DodomaKondoa kubwa kuliko Babati πππ
Hapa ni kwelitarime kubwa kuliko musoma
Hata mimi wakati napita njia ya Dar - Mbeya niliamini hivyo. Siku nimepita barabara ya Mbeya - Dodoma kupitia nyang'olo tulipopanda kale kamlima hapo ndipo nikaijua vzr Iringa. Na pale kihesa ambapo hakuna kulala.Mi mwenyewe kichwa kinaniuma , ni iringa ipi anaongelea hadi mafinga iwe juu
acha uongoMasasi ni kubwa kuliko mtwara
Kaliua kubwa kuliko Tabora? DuhKama umetembelea kidogo mikoa mbalimbali utagundua hili
Makambako kubwa kuliko Njombe
Kaliua kubwa kuliko Tabora
Mafinga kubwa kuliko Iringa
Kahama kubwa kuliko Shinyanga
Tunduma kubwa kuliko Songwe
Katoro kubwa kuliko Geita
Ongeza wilaya nyingine
..............
USSR
π, Kwa umaarufu kondoa ipo juu sana!.Kondoa kubwa kuliko Babati πππ
Hajui anachoongea, kifupi kapuyanga tuMuongo, Kaliua haiwezi kuisogea hata Urambo na Nzega let alone Tabora.
Hizi zote ni wilaya tu.....Kondoa kubwa kuliko Babati πππ
Labda kwa uchangamfu tu ila sio ukubwaMasasi ni kubwa kuliko mtwara
Huyu mdesi be mdesiMuongo!! Mafinga kubwa kuliko Iringa?? Umetembea Iringa kweli??
Aginite! [emoji1787]Huyu mdesi be mdesi