Rhz4567
JF-Expert Member
- Mar 16, 2018
- 4,893
- 6,599
Duh siyo kondoa kubwa kuliko manyara!Kondoa kubwa kuliko Babati 😎😎😎
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh siyo kondoa kubwa kuliko manyara!Kondoa kubwa kuliko Babati 😎😎😎
Yeah nilikua huko juzi baada ya miaka mingi,mji wa tabora umepanuka hasa upande wa magharibi lakini hata mashariki,Ila nzega nayo imekua Sana aisee,nzega ya 1995 na ya Leo ni mbingu na nchiHata Nzega haijaipiku Tabora mkuu
Huo utakuwa UpuuziKama umetembelea kidogo mikoa mbalimbali utagundua hili
Makambako kubwa kuliko Njombe
Kaliua kubwa kuliko Tabora
Mafinga kubwa kuliko Iringa
Kahama kubwa kuliko Shinyanga
Tunduma kubwa kuliko Songwe
Katoro kubwa kuliko Geita
Ongeza wilaya nyingine
..............
USSR
Hivi Mnaijua Tabora nyieUmekosea bora ungesema
Nzega kubwa kuliko tabora.
Tunduma kubwa kuliko songwe.
Kahama kubwa kuliko shinyanga.
Makambako kubwa kuliko njombe
Ukubwa upi unaomaanish wee?tarime kubwa kuliko musoma
Ndio maana amekimbia uziMleta mada, amekosea kote isipokuwa kwa Kahama kuwa kubwa kuliko Shinyanga, na sababu zipo wazi.
Kwani maana ya mkoa ni lazima iwe kubwa kuliko wilaya?? Mkoa ni admistration point ya serikali yetu kuu.Kama umetembelea kidogo mikoa mbalimbali utagundua hili
Makambako kubwa kuliko Njombe
Kaliua kubwa kuliko Tabora
Mafinga kubwa kuliko Iringa
Kahama kubwa kuliko Shinyanga
Tunduma kubwa kuliko Songwe
Katoro kubwa kuliko Geita
Ongeza wilaya nyingine
..............
USSR
Tangu lini Katoro ikawa Wilaya ? Nani kakudanganya kwamba Katoro ni kubwa kuliko Geita ? Kajipange tena uje na facts.Kama umetembelea kidogo mikoa mbalimbali utagundua hili
Makambako kubwa kuliko Njombe
Kaliua kubwa kuliko Tabora
Mafinga kubwa kuliko Iringa
Kahama kubwa kuliko Shinyanga
Tunduma kubwa kuliko Songwe
Katoro kubwa kuliko Geita
Ongeza wilaya nyingine
..............
USSR
si ungesema tu kuwa hata mikumi ni kubwa kuliko morogoro?Kama umetembelea kidogo mikoa mbalimbali utagundua hili
Makambako kubwa kuliko Njombe
Kaliua kubwa kuliko Tabora
Mafinga kubwa kuliko Iringa
Kahama kubwa kuliko Shinyanga
Tunduma kubwa kuliko Songwe
Katoro kubwa kuliko Geita
Ongeza wilaya nyingine
..............
USSR
Hapa ni Sahihi ila nyingine alitudanganya et mafinga iizidi iringa ni ndoto za mchana pita dodoma road ndo utaielewa iringa mafinga kwa iringa ni sawa uchukue eneo la ipogoro hadi igumbiloUmekosea bora ungesema
Nzega kubwa kuliko tabora.
Tunduma kubwa kuliko songwe.
Kahama kubwa kuliko shinyanga.
Makambako kubwa kuliko njombe
Nilipata kuuliza hili jambo humu nilishambuliwa na waliozidiwa ukubwa ikabidi niwe mpleKama umetembelea kidogo mikoa mbalimbali utagundua hili
Makambako kubwa kuliko Njombe
Kaliua kubwa kuliko Tabora
Mafinga kubwa kuliko Iringa
Kahama kubwa kuliko Shinyanga
Tunduma kubwa kuliko Songwe
Katoro kubwa kuliko Geita
Ongeza wilaya nyingine
..............
USSR
Katoro nakataa niko hapa buseresereKama umetembelea kidogo mikoa mbalimbali utagundua hili
Makambako kubwa kuliko Njombe
Kaliua kubwa kuliko Tabora
Mafinga kubwa kuliko Iringa
Kahama kubwa kuliko Shinyanga
Tunduma kubwa kuliko Songwe
Katoro kubwa kuliko Geita
Ongeza wilaya nyingine
..............
USSR
umekula maharage ya wapi wewe? Iringa, Tabora, Shinyanga huzijuiKama umetembelea kidogo mikoa mbalimbali utagundua hili
Makambako kubwa kuliko Njombe
Kaliua kubwa kuliko Tabora
Mafinga kubwa kuliko Iringa
Kahama kubwa kuliko Shinyanga
Tunduma kubwa kuliko Songwe
Katoro kubwa kuliko Geita
Ongeza wilaya nyingine
..............
USSR
Kibaha kubwa kuliko pwani
Mafinga sawaa na kitwiru mbk ipogolo basiHapa ni Sahihi ila nyingine alitudanganya et mafinga iizidi iringa ni ndoto za mchana pita dodoma road ndo utaielewa iringa mafinga kwa iringa ni sawa uchukue eneo la ipogoro hadi igumbilo