Michezo ni afya, ni elimu, ni heshima, ni nadharia, na ni vitendo...
Kwa Waheshimiwa Wabunge kutengewa 20M binafsi naona ni ndogo kwasababu wanajianda na michezo ya Mabunge Afrika Mashariki, pamoja na kuboresha afya zao pia watajifunza kwani wao ndio wapitisha bajeti za michezo ktk Wizara.
Ikumbukwe kitendo cha kukutana Nchi majirani kidiplomasia ni heshima kubwa sana, hapo bado hatujawashinda ktk michezo.
Mwisho ni Nadharia kwa wasioshiriki na Vitendo kwa watakaoshiriki.