Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
According to relationship expert Cooper Lawrence, women are better cheaters, because they are better at keeping secrets!
Lawrence says cheating is up among women in committed relationships because women now have the means and the motive.
Women are financially independent and more likely to walk away from a relationship that isn't satisfying. Source
Is it because they are better at keeping secrets or is it because they are better at lying or is it because they are better at both?
Is it because they are better at keeping secrets or is it because they are better at lying or is it because they are better at both?
Hahahahahahaha,
Kaka,... ndo umegundua leo kwamba watu wenye pyepye nyingi (kama wanaume) mara nyingi huwa wana zero score kwenye maunjanja ya maisha??
Ndiyo maana hawa wadau huwa wanatu-enjoy!!
Anyway, if you can't fight them.....!!
Babu DC!!
both............
Hahahaaaa hawa watu bana. Yaani we acha tu.
Hahahahahahaha,
Kaka,... ndo umegundua leo kwamba watu wenye pyepye nyingi (kama wanaume) mara nyingi huwa wana zero score kwenye maunjanja ya maisha??
Ndiyo maana hawa wadau huwa wanatu-enjoy!!
Anyway, if you can't fight them.....!!
Babu DC!!
Hahahaaaa hawa watu bana. Yaani we acha tu.
i wish to find one who can lie to me and keep secrets
i am so good at uncover secrets that i hate myself for that....
i wish to find one who can lie to me and keep secrets
i am so good at uncover secrets that i hate myself for that....
Babu, big respect to you, busara zako aisee!
Mie kuna ndugu yangu alimcheat mkewe muda mrefu tu tukanyamazia. Akaanza kuleta dharau kwa mkewe na ku-play hard to get. Hadi akastukiwa. Nikamuonya kesi ilipofika kwangu. Sasa hivi mkewe ana affair ya kufa mtu. Na mie formula yangu siingilii maisha ya mtu. Namngoja alete kesi nimuambie wewe ndo mwalimu wake, sahihisha daftari uwe mupolee!
Mwanaume akiwa cheated anatia huruma as if it is the end of the world! Sikilizia akikamatwa yeye anavyokuwa m'babe na kulazimishia asamehewe!
Hivi Boss, umeshawahi kusifiwa na mwanamke au wanawake kuhusu sexual prowess yako? Ushawahi kuambiwa 'that was good' (meaning the sex)'?
Ushawahi kumuuliza msichana ambaye labda umewahi kuwa na uhusiano naye kuhusu idadi ya wanaume aliyowahi kuwa nayo kabla yako wewe? Kama umewahi most likely uliambiwa idadi ndogo sana. Kama alikutajia idadi ndogo, uliamini?
Hivi Boss, umeshawahi kusifiwa na mwanamke au wanawake kuhusu sexual prowess yako? Ushawahi kuambiwa 'that was good' (meaning the sex)'?
Ushawahi kumuuliza msichana ambaye labda umewahi kuwa na uhusiano naye kuhusu idadi ya wanaume aliyowahi kuwa nayo kabla yako wewe? Kama umewahi most likely uliambiwa idadi ndogo sana. Kama alikutajia idadi ndogo, uliamini?
i wish to find one who can lie to me and keep secrets
i am so good at uncover secrets that i hate myself for that....
Come onnn! U have never mingled with smart women? I wish you could try me, give me a good enough reason to lie to u, and see if u can uncover,lol! Tatizo nitajiaminisha kwako kiasi by the time I'm lying to u, u won't even believe that I am!
I should stop watching tv too much,lol!
Ndo hivyo King'asti,
Sie wa enzi za mwalimu tunajua kuwa mkiamua (tena bila kuwezeshwa), mnao uwezo mkubwa sana wa kumfanya mtu awe mdogo zaidi ya piriton.....!!
Sema tu gari zenu nika Land Rover 109, lazima mtu atumie nguvu kuifikishwa kwenye full speed!!
Babu DC!!
i never asks those questions
na hata akijopendekeza kujielezea i stop her
namwambia sitaki kusikia.....