Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
- Thread starter
- #21
hata sijaelewa ur angle
but nikupe a very true story...
nilikuwa na rafiki ambae tulikuwa tuna party pamoja sana
na huko mitaani akichukua wanawake wa pembeni anawaleta kwangu
zamani kidogo
na wanawake walikuwa wanamsifia mno utundu wake kitandani
but guess what...niliwahi kutoka na gf wake na akawa
anamdanganya jamaa ili tu asi sex nae
anakuja kwangu
na i was not that good.....
but his gf preferred me than him...
sijui unaelewa hiii?
Hahahaaa Boss umenivunja mbavu! Ila nimekuelewa...