Hodi hodi kutoka kwa Kiranga

Hahaha,

Minaki pale pua na mdomo na kwetu. Unapokutana na watu, tisa kati ya kumi hawakupi picha halisi.

Mlifika Mwanarumango?
Hhahaha ama kweli wewe Mzaramo halisi...bila shaka hata Cholesamvula, Mzenga na Mafizi unaweza ukawa na ndugu na jamaa pia.
 
Hhahaha ama kweli wewe Mzaramo halisi...bila shaka hata Cholesamvula, Mzenga na Mafizi unaweza ukawa na ndugu na jamaa pia.
Kote huko.

Kuanzia Nyumba ya Saa, Kinyasini, Gongo la Mboto, Pugu, Minaki, Kisarawe, Chanzige, Kazimzumbwi, Kisanga, Kibogwa, Masaki, Cholesamvula, Mwaneromango, Mafizi, Mzenga na maeneo jirani yote.

Wewe kwenu wapi tujuane?
 
heshima yako mkuu Kiranga unajua kucheza na lugha,tena zote.Kiswahili pamoja na ile iliyokuja na meli. Kudos
 
Kiranga wa ngeda!, Oyee!!


Vigelegele!
Karibu!

Hapa ni JF...na kwanguwoteπŸ˜€ ni JF Ville!

Kula Breki!!!

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Sina breki za mbavu!
Huyu mkuu ( Sura-ya-Kwanza ) yu wapi siku hizi? Alikuwa na vionjo fulani vya kipekee sana, sivioni tena baada ya ukimwa wake!

Kula Breki!πŸ™‚πŸ™‚
 
πŸ˜€Kumbe Kiranga uliingia kwa mbwembwe namna hiyo
 
una haki ya mikwara unayopiga,

ulivoingia HATARI, KIRANGA waa ngeda
 
Wana Fasihi hayo wanayaita MAJIGAMBO. Kuna makabila wakati wa harusi bwana harusi inabidi ayatoe hayo. Hongera.
 
Uvisalimie na vinyanyiko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…