Wick
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 8,313
- 12,170
Siku maanisha wewe sorry kuniquote vibaya!..But most ya people wa enzi hizo nowdays siwaoni humu ndani!..Wala sikubadili jina kuendana na utoto. Nimeamua tu. Hata hilo la Chikira nalo nilikuwa nimebadilisha. Ingekuwa ninataka utoto ningefungua ID mpya lakini kama unaona vizuri bado inaonesha nimejiunga 2011. Nitake radhi kuniambia nataka utoto wa JF
Na kubadilisha sio kwa maana mbaya its just nilikua sijui mkuu kuna kipindi mwenyewe sikuwepo JF mpaka 2017 niliporudi tena!.