Hodi hodi naingia...

Sitaki vita na watu wa jfπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sitaki vita na watu wa jf[emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama ni vita wacha iwe vita, Mimi nitakua upande wako kama "Armor" Yaan Kukulinda toka ktk hatari.

Nitakua Helmet univae kichwan kama boda boda

Nitakua PPE nikulinde dhidi ya Corona

Nitakua Bulletproof vest niizuie risasi isipenye mwilin mwako.


Nitakua ballistic vest bikulinde dhidi ya milipuko ya gongo la mboto ambayo MTU alibeba mpaka badala ya mwana.

Nitakua Gas mask wako niizuie hewa chafu isiingie mwilin mwako.


Au niwe gloves ?? Nilinde viganja laini vya mikono YAKO, ili pindi unipapasapo nipate msisimko halisi wako?.





Bado tu unaogopa ?.wakati nmekulinda dhidi ya Vita na matokeo yake ?.


Basi poa, ngoja niwe Mwarubaini mchaichai, mkaratusi, Limao, tangawizi, mdalasini, na niwe shuka, UJIFUKIZE .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚uwiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…