Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Ewaaa mambo si hayo sasa !!! Nahuyo ndo mama Pretty, mama lao. Mama la mvutooooo ..[emoji419][emoji419][emoji419]
Baby haujambo..?
Sitaki vita na watu wa jfπββοΈπββοΈπββοΈπππHahahhaha jamaan Mwanamke pretty , hata majumban kwetu ,mgeni hukaribishwa kwa moyo mkunjufu na na wenye uvuguuvugu.
Huon mzeee wa kaya toka ahamie chattle kaaa mweusi, sababu chattle hamna ujotojoto wa wagen?.Hata ivo Mimi kuna MTU kaja speed ohoooo Carlos ,wewe bana ndo Mr.Right nanyota imekuangia wewe..ohoooooo kuna mwanamke uko anakuita !!.
Kumuuliza nani?? Anasema anaitwa Mama pretty .
Ndo sababu nmekuja kwa speed ya hypersonic
Kweli nashukuru nimekukuta ID na Avatar yako vikisadifu kauli ya wazungu isemeyo "Lady you are gorgeous " .. ( kithungu kilinipita pemben ,najuaga maneno ya mahaba tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ewaaa mambo si hayo sasa !!! Nahuyo ndo mama Pretty, mama lao. Mama la mvutooooo ..
Nguvu yako ya mvuto ulonayo. Imenikumbusha nguvu ya mvuto ya Sumaku.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni vita wacha iwe vita, Mimi nitakua upande wako kama "Armor" Yaan Kukulinda toka ktk hatari.Sitaki vita na watu wa jf[emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe kheee ebu ntolee upuuz wako wa kwenye nyuzi za watu uko[emoji23][emoji23]
πππuwiiiKama ni vita wacha iwe vita, Mimi nitakua upande wako kama "Armor" Yaan Kukulinda toka ktk hatari.
Nitakua Helmet univae kichwan kama boda boda
Nitakua PPE nikulinde dhidi ya Corona
Nitakua Bulletproof vest niizuie risasi isipenye mwilin mwako.
Nitakua ballistic vest bikulinde dhidi ya milipuko ya gongo la mboto ambayo MTU alibeba mpaka badala ya mwana.
Nitakua Gas mask wako niizuie hewa chafu isiingie mwilin mwako.
Au niwe gloves ?? Nilinde viganja laini vya mikono YAKO, ili pindi unipapasapo nipate msisimko halisi wako?.
Bado tu unaogopa ?.wakati nmekulinda dhidi ya Vita na matokeo yake ?.
Basi poa, ngoja niwe Mwarubaini mchaichai, mkaratusi, Limao, tangawizi, mdalasini, na niwe shuka, UJIFUKIZE .
Sent using Jamii Forums mobile app
Nmekoma mimi.. nsamehe kakaππMama pretty , kama niupuuzi wacha niwe kwa sababu niwewe wafanya haya yote.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]uwiii
KaribuMnipokee wajameni... kuna uzi umenivutia humu mpaka nmeamua kuwa member.
Nawapenda jamiiforums members
Asante! Nawapata vema kabisaKaribu mwaya JF..hii ndo JF na wanaJF ndo sisi hapa !!.
Mama pretty
Sent using Jamii Forums mobile app
Sanaaa ππWanaume wa JF mnafurahisha Aisee...
Asante sanaKaribu
Sawasawa , baadae PM ikianza kufurika usituchambe.Asante! Nawapata vema kabisa
We carlos wewe...ππππEwaaaaaa Umeona sasa.. Tayari umejiongezea siku moja ya maisha
Nipigie makofi !!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naam!!! Na ukiendelea nakusemea kwa bibi angu Lara1 afu uone vichambo vyakeSawasawa , baadae PM ikianza kufurika usituchambe.
Roho ihai , lkn mwili ni dhaifu.
Utasemehe saba Mara sabini.
Huyu Zero IQ unamjua ???.
Sent using Jamii Forums mobile app