Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Chai ya rangi bhana maziwa yatoke wapi.
Hahaha umefanya nmecheka kama vile simu inavyovaiburetiiiiii[emoji1][emoji1][emoji1]nilikuwa na kiyoyozi pembeni kubalance mambo!
Hahaha umefanya nmecheka kama vile simu inavyovaiburetiiiiii
Sasa hapo nyungu imefanya kazi?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha aisee sawa wee endeleza kupiga nyunguEeh jaribu nawewe hutajuta alinifundisha KENZY
Unapenda kupigiwa makofiiiUmecheka tena, nipigie makofi Mara yapili
Dunia inamambo weee acha
Sent using Jamii Forums mobile app
We acha tu.. mpaka najutaaaaπππBila Shaka Pm imejaa
Siku niliojitambulisha hapa zilimiminika message hadi leo sijamaliza kuzisomaπ
πππHaswaaa hujakoseaaa.
Niliwahi ruka ukuta usiku home mida ya Saa sita miaka ileee ,kumfata demu huku kananichatisha tuu..baby njooooo njooo nitakufungulia mlango.
Mwendo wa kilometer 1 ivi alafu kwa mguu..nafika karibu nakwao Kananiambia..
Haaa baby nilikua nakutania tu Mimi nmesafiri toka Jana..
Kale kademu kaliniboa hahahahahaha., mbaya narudi home, naruka, kutua, mzeee huyu hapa ...nilichezea kichapooo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naonaaa umeamua uwaleteee sasaaππHahahahahaha basi ngoja ,kuna mdau anaitwa jooohs huyu Mkuu yeye toka shule ya msingi ni harakati tu ,kupambana .
yeye na maisha maisha nayeye, sema ndo ivo mpaka Leo anatembea kwa mguu tu kama Mimi.
Ndo maana wahenga Wakasema... Mipango sio matumizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Utaelewa akifikaaMsukuma Mimi utakua unanionea tuuKwa maana bibi yako naye anajua, mjukuu shariti spate mkazamwana
Sent using Jamii Forums mobile app
Abee
Itakuwa si vyema nikomenti tu bila kukukaribisha!Mnipokee wajameni... kuna uzi umenivutia humu mpaka nmeamua kuwa member.
Nawapenda jamiiforums members
Alhamdulillah mie
Asante sana.
πππ kwa hiyo huwa mnajaribishana?
Asante... mie sjambo kabisaaaItakuwa si vyema nikomenti tu bila kukukaribisha!
Karibu mama pretty..
Haujambo..?
Mie ni buheri wa afya kabisa..Asante... mie sjambo kabisaaa
Weye kheri?
Zipo nyingi sanaaaa tena kitambo tangia 2014....Mie ni buheri wa afya kabisa..
Mada ipi ilikufanya ujiunge jf..??