Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Nilikumis mpaka Moyo wangu ukaanza kuhangaika aiseeAbee
Hata upande mbinguni.. ushuke ardhini huwezi kuwa simba mkuuπππHapana, siwezi kukudhuru kwani mie simba bibie!?
Wana jf wote wana haki sawa humuπBaadhi sijazisoma!
Wao wanakuita hivyo Mimi usinipangie nikuite vipi..!ππ
In magufulism voice..
Weeeeee hebu bwana πππAvatar yako kuna mtu mmoja anaitumia huku WhatsApp kwangu. Natumaini utakuwa ni wewe π
Naona unataka ligi..Wana jf wote wana haki sawa humuπ
Tena ukuje pmπππAvatar yako kuna mtu mmoja anaitumia huku WhatsApp kwangu. Natumaini utakuwa ni wewe π
Salama kabisa
Eeeh hayaaaEbwanaaa ... Mwanadamu kaumbwa kua appreciated pale anapofanya lilo zuri !!
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe kijana?πππ
Hayaaaa waambie mabaharia wako wamekutana na nyangumiππHao wanaitwa maBaharia !! Ukiruka juu wanaruka nawewe ,ukitua wametua nawee
Sent using Jamii Forums mobile app
Asiyejua maana...?
Yupo busy....
πππππNilikumis mpaka Moyo wangu ukaanza kuhangaika aisee
Nikataka nikuPM ..Ila nikawaza, Mimi nitakua wa wangapi?...
Ohoooooo nikajua naenda Kuingizwa kwenye kundi la watu maalumu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata upande mbinguni.. ushuke ardhini huwezi kuwa simba mkuu[emoji4][emoji4][emoji4]
Sijui kuchezaπNaona unataka ligi..
Umejipanga..?