Hodi hodi wana Jf wenyeji

Hodi hodi wana Jf wenyeji

Joined
Oct 5, 2016
Posts
31
Reaction score
13
Mimi ni mwana jf mgeni humu, kwa nia ya dhati kabisa naombeni ushirikiano wenu na nina ahidi kuwa mwadirifu kwa kuzifuata sheria za jf pia kuwaheshimu wote. kwa jina naitwa TIZO ZIHABANDI ASANTENI
 
karbu sana mkuu,huu ndo mtandao wa wakubwa na faida za kutosha hope uwe nayo tutakupa ushirikiano pamoja sana
 
Mimi ni mwana jf mgeni humu, kwa nia ya dhati kabisa naombeni ushirikiano wenu na nina ahidi kuwa mwadirifu kwa kuzifuata sheria za jf pia kuwaheshimu wote. kwa jina naitwa TIZO ZIHABANDI ASANTENI
Hilo jina na mrembo au li njemba fulani ivi
 
Mimi ni mwana jf mgeni humu, kwa nia ya dhati kabisa naombeni ushirikiano wenu na nina ahidi kuwa mwadirifu kwa kuzifuata sheria za jf pia kuwaheshimu wote. kwa jina naitwa TIZO ZIHABANDI ASANTENI
Karibu sana tizo vipi kwenu uganda wazima!!
 
Back
Top Bottom