DMCT
JF-Expert Member
- Apr 25, 2015
- 2,276
- 5,937
upo jf chit chat unatisha sana ukitaka kupata likes nyingi pita pale click new posts kuupata fasta...... karibu sanaUzi maalumu ndio uko vipi boss
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
upo jf chit chat unatisha sana ukitaka kupata likes nyingi pita pale click new posts kuupata fasta...... karibu sanaUzi maalumu ndio uko vipi boss
Asante mtu mzuri. Ila nna swali kwa mfano unakuta mada ina comment nyingi sana by then nikifungua kwa simu naona picha flani kwenye mada hisika ila nilitaka kuipata ile picha ni hadi nipitie comment zote na hiyo inakula tyme sana nauliza kama kuna shotcut yyte kuweza kupata picha kwa urahisiupo jf chit chat unatisha sana ukitaka kupata likes nyingi pita pale click new posts kuupata fasta...... karibu sana
Pambana na hali yakoAsante mtu mzuri. Ila nna swali kwa mfano unakuta mada ina comment nyingi sana by then nikifungua kwa simu naona picha flani kwenye mada hisika ila nilitaka kuipata ile picha ni hadi nipitie comment zote na hiyo inakula tyme sana nauliza kama kuna shotcut yyte kuweza kupata picha kwa urahisi
mkuu hapo labda uwe unapitia page moja moja fasta..Asante mtu mzuri. Ila nna swali kwa mfano unakuta mada ina comment nyingi sana by then nikifungua kwa simu naona picha flani kwenye mada hisika ila nilitaka kuipata ile picha ni hadi nipitie comment zote na hiyo inakula tyme sana nauliza kama kuna shotcut yyte kuweza kupata picha kwa urahisi
wew anza kukoment tu utakuta una likes had 10 kwa post moja utapoanzia kupost ndo utaanza kulike... mkuuMi kazi sana kwa ule uzi wa kupeana like una kommenti nyingi mno
mkuu ukipita unajaribu ku offer likes kama kawaida yetuKaribu sana mkuu katika kijiji hichi
Asante mtu mzuri. Ila nna swali kwa mfano unakuta mada ina comment nyingi sana by then nikifungua kwa simu naona picha flani kwenye mada hisika ila nilitaka kuipata ile picha ni hadi nipitie comment zote na hiyo inakula tyme sana nauliza kama kuna shotcut yyte kuweza kupata picha kwa urahisi
Id ya zaman imezeeka sioTumsifu Yesu kristo, asalam alyekum. Mimi ni mgeni hapa baada ya kuuliza sana hatimae nikaelekezwa kuna sehem kama hii ya kujadili mawili matatu. Minipokeeni na kunielekeza pale nnapotoka nje ya msitari. Asanteni na Mungu awabariki.
acha kujfanya ujui maana ya IDId ya zamani ni nini?