Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu FaizaFoxy ni nani huyumimi ni kjana/young age 21 bado mwana funzi naombeni muongozo wa humu JF ili niweze kwendana na maudhui sa hh bila kuhalibu chochote kile plz naomben muongozo
Mwalimu mmoja wa UPE aliyehamishia ujuzi mitandaoni,utasema kiswahili ni lugha inayomilikiwa na ukoo wake anavyojifanya kuijua na kuwadhihaki watu.fanya ku-search humu utamfahamu zaidi mkuu.Huyu FaizaFoxy ni nani huyu
Chuo gan na mwaka wa ngp?asante mkubwa npo chuo
nime kuelewa mkubwa ndomana nimetaka muongozo wenu humuMosi...kwanza kila asubuhi uamkapo post hivi “Shikamooni wakubwa zangu"...kila siku i mean.
Pili...hakikisha mambo ya facbuk unayaacha kule kule na tatu jaribu kunoa lugha yako maana humu yupo mtu anaitwa FaizaFoxy atakusababishia kitu kinachoitwa BAN kutokana na maneno atakayokujibu!Dogo unakaribishwa.
Vizur pale tabora najua unakulaga bata pale oxygen,ukifika pale mtafuta jamaa mmoja anaitwa baraka,ndio mmiliki wa pale mwambie nimeagizwa na ndugu yako yupo dar unipe nusu kuku,halafu nenda counter mwambie Kashubara mtoto mmoja mzur mzur mweupe kama msomali akupe bia mbili ushushe kila jumamos Ila kwa bili yako... Mpka utkapotimiza miezi mitatu ya usaili huku jfnpo chuo cha uwaziri tbr mwaka wa pili
weka mbali na watoto mm situmii hyo kituVizur pale tabora najua unakulaga bata pale oxygen,ukifika pale mtafuta jamaa mmoja anaitwa baraka,ndio mmiliki wa pale mwambie nimeagizwa na ndugu yako yupo dar unipe nusu kuku,halafu nenda counter mwambie Kashubara mtoto mmoja mzur mzur mweupe kama msomali akupe bia mbili ushushe kila jumamos Ila kwa bili yako... Mpka utkapotimiza miezi mitatu ya usaili huku jf
Mwana funzi = Mwanafunzimimi ni kjana/young age 21 bado mwana funzi naombeni muongozo wa humu JF ili niweze kwendana na maudhui sa hh bila kuhalibu chochote kile plz naomben muongozo
npo chuo cha uwaziri tbr mwaka wa pili
Chuo cha Uwaziri ni kipi na kanatoa kozi za fani gani ili labda na mimi nije nisomee kozi ya uwaziri wa fedha.npo chuo cha uwaziri tbr mwaka wa pili
Hicho Chuo cha Uwaziri kinapatikana wapi na Mimi nije nisomee huo uwaziri niwe Kama Waziri Mwigulu Chemba...npo chuo cha uwaziri tbr mwaka wa pili