Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna haja ya picha.Kapicha?
Kwahiyo watu wa Njombe ni weusi wafupi😀Hamna haja ya picha.
Kashasema ni Mr. Njombe yaani ni mfupi Sana pia mweusi Sana.
Wee unataka ugomviHamna haja ya picha.
Kashasema ni Mr. Njombe yaani ni mfupi Sana pia mweusi Sana.
Ndio mdudu gani huyo Fitofu?Fitofu 😀 Vimetukuza na kutulipia ada, hivyo kwa njombe ni vitu vya thamani sana
karibu sanaNatumai Amani na utulivu vimetawala katika familia hii.
Katika ugeni wangu, naomba kujiunga nanyi, nami niwe sehemu katika platfom hii muhimu.
Asante.
Naomba kuwasilisha.
