Hodi JamiiForums

Hello JamiiForums
Nimefurahi kuwa mwanafamilia hapa
Naomba kukaribishwa na kupewa mwongozo
Shukria.
Mwongozo ni kwamba.... Humu ndani kila mmoja ni Mkuu.
Alafu hapo kwenye avatar yako kuna maradhi ya mtima wangu..[emoji39] [emoji39] [emoji39] huo msamwanda utantoa roho...[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Mwongozo ni kwamba.... Humu ndani kila mmoja ni Mkuu.
Alafu hapo kwenye avatar yako kuna maradhi ya mtima wangu..[emoji39] [emoji39] [emoji39] huo msamwanda utantoa roho...[emoji12] [emoji12] [emoji12]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…