Hodi Mwanza


Wewe unatoka mkoa upi kuja mwanza au unatoka mbeya, maana kama ni Dar to Mwanza hakuna gari inalala njiani kutokea Dar kuja mwanza labda viberenge(🤣)
 
Nipo stend hapa mbezi... hadi saa 11.59 sioni dalili ya gari kuondoka. Kisbo ya kahama naona ishaamsha.
Ngoja nivumilie labda nyama ziko chini
 
Ungepanda allys angalau zipo vzuri na zinawahi izo kisbo ni gari mbovu sana na ata ufanani nazo
Jaman si kuna uzi huku wanadai kisbo ndo zinafika haraka?? Eti japo bodi mbaya ila mashine nzuri??
Basi usijali nikirudi ally's itahusika. Ila hata hapa inaenda mwendo matata. Tunakaribia moro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…