mathsjery
JF-Expert Member
- Sep 26, 2015
- 2,249
- 1,813
Kwa mara ya kwanza Mwenye enzi Mungu akipenda nitawasili Mwanza siku ya kesho.
Gari wakati wa kwenda nitapanda basi la lampuni ya Kisbo halafu nitarudi na basi la kampuni ya happy nation.
Kwa nini kisbo? Kwa sababu sitapenda nilale njiani.
Wale wa ooh kapande mwewe (ndege) hapa sio mahali penu.... wengine passport tulishazichafua sana huko duniani so ndege sio issue sana! me kwa sasa ni basi mwanzo mwisho.
Ushauri mlionishauri kipindi kile kwenye uzi wangu wa wapi nikapumzike nimeuzingatia sana.
Baada ya mapumziko nitarudi na dagaa na samaki so msisite kunipatia oda zenu (Si mnajua tena yatima hadeki)
Haya mniombee safari njema.
Wewe unatoka mkoa upi kuja mwanza au unatoka mbeya, maana kama ni Dar to Mwanza hakuna gari inalala njiani kutokea Dar kuja mwanza labda viberenge(🤣)