jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Wala usijali....nipo hapa morena napata breakfast....muulize konda wao wanapaki hoteli ganiNjoo mzab ila kuniona sura tu uje na 50k
Stend ya job ni ipi mkuu??Usiache kuusindikiza uzi kwa picha..hasa ukifika stendi kuu ya Jobu Ndugai..mlima sekenke najua mtafika jioni napo usisahau kupiga picha wale nyani wanaosimama barabarani.
#MaendeleoHayanaChama
Bando tu juzi ilikutoa jasho sembuse hiiWala usijali....nipo hapa morena napata breakfast....muulize konda wao wanapaki hoteli gani
Hahaha wee bando linakuja usijali. Wee leta sato hao bwanaBando tu juzi ilikutoa jasho sembuse hii
Wee nisindikize tu hapa kwenye uzi hadi niingie mwanza usubiri hapo msamvu uniungishe sato wakavu bhaaas
Ah wee kuna mwanaume mjanja mbele ya mbususu bwana😂😂😂😂We mjanja sana wewe
Mwanza mbali wasipo kimbia mtafika sa8 za usiku..hapo angalau mfike sa5 au sa6.Ila hizi gari za mwanza zinakimbizwaa dahh kwa sisi tuliozoea magari ya arusha na moshi haya ni maajabu. Yani wanaovertake tu hata pasipofaa kuovertake...
Sijui wao hawana tochi kwenye barabara zao
Imagine kutoka mbezi stend hadi maili moja wametumia dakika 12 tu..Mwanza mbali wasipo kimbia mtafika sa8 za usiku..hapo angalau mfike sa5 au sa6.
Daah nimepamisa sana mwanza.
#MaendeleoHayanaChama
Alishidwa mtiwa mafuta daudi aliye chaguliwa na mungu sembese wanaume wa sasa ambao kile leo barabarani unakutana na warembo wapo nusu uchiWapo mbona...
Wewe tu unaiendekeza...
🤣🤣🤣🤣Sasa jamani tusipo endekeza mbususu warembo watakula wapiHaya wewe zuendekeze tuu utakuja kusimulia
Vyovyote vile kimasihara za huko achana nazo, risasi saba kwenye ubongo mmoja tutashindwa hata kukutambua mdogo wetu.Mie ni mjiru mbona
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Vyovyote vile kimasihara za huko achana nazo, risasi saba kwenye ubongo mmoja tutashindwa hata kukutambua mdogo wetu.
Tunashukuru kwa taarifa...wala samaki tuu huko au sio? Vipi wana jf wamekupokeamzabzab na wengineo nilifika salama
Nimepokelewa na kujaliwa kwa yoteTunashukuru kwa taarifa...wala samaki tuu huko au sio? Vipi wana jf wamekupokea
Aise safi sana natumai mwana jf atabarikiwa na utamu 🤣🤣🤣🤣Nimepokelewa na kujaliwa kwa yote
Sijatindikiwa kitu hapa nilipo
Huwezi amini nimepewa 5* treatment
[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Nime update uzi kasome uone kule juu