Mgeni gani unakuja usiku?Nimekuwa msomaji wa hamiiforums kwa muda mrefu ila leo nimebofya kitufe cha register (kujisajili), na ndio kama hivi nimo ndani ya system,
Naombeni mnikaribishe, mnipokee mizigo na ikibidi mnipe a,b,c,d za hili jiji la kidijitali. j city,
Nimekodi kirikuu ije usiku mwenye nyumba asinione 😂😂Mgeni gani unakuja usiku?
Anyway, vyumba vimejaa. Nenda katafute pa kujisitiri kisha tutaonana asubuhi.
Karibu mgeni mwenzangu . Mwenyewe nilikua msomaji tu ila nimejalibu mala nyingi sana kujiunga atimae nikafanikiwa . So karibu ulimwengu wa ma GTNimekuwa msomaji wa hamiiforums kwa muda mrefu ila leo nimebofya kitufe cha register (kujisajili), nami kwa sasa ni mwanachama wa hii platform kubwa ya kitanzania.
Naombeni mnikaribishe, mnipokee mizigo na ikibidi mnipe a,b,c,d za hili jiji la kidijitali. j city.
Naomba liftNina usafiri wa kawaida sidhani kama umefikia kiwango cha kuitwa gari kwa vigezo vya wana jamiiforums
Uliyomba kenehe?Tuliho nkoyi.
Nagunkaribishaga ungeni ong'wenumu.Uliyomba kenehe?
Obeja nkoyi, nahene lulu.Nagunkaribishaga ungeni ong'wenumu.
Nahene.Obeja nkoyi, nahene lulu.