Hodi wakuu

Nashukuru sana mkuu
Hawa wakuu wanahusika na nini?
Mambo kadhaa wa kadhaa. Mimi ni mtalaamu majukwaa kadhaa. Kama Mahusiano, Siasa, Burudani, Siasa n.k ndiye nliyekuwa na Max wakati anaanzisha Jambo Forum ndo nikamshauri aite Jamiiforums. Nafahamika sana pia kwa kuwasaidia watu wenye shida mbalimbali ndo maana umeona nimetambulishwa hapo. Pia ni msimamizi mkuu wa JF. Nikisema utolewe ni sekunde tu.
 
Nashukuru sana mkuu, kumbe ni mtu mkubwa hivyo?. Asante sana kwa kunipa hii heshima ya kunijibu.
 
Nashukuru sana mkuu, kumbe ni mtu mkubwa hivyo?. Asante sana kwa kunipa hii heshima ya kunijibu.
Karibu. Yeaah huwa napenda kujichanganya kidogo na watu wa chini sina majivuno wala dharau. Labda mtu aniudhi tu.
 
Karibu. Yeaah huwa napenda kujichanganya kidogo na watu wa chini sina majivuno wala dharau. Labda mtu aniudhi tu.
Sawa mkuu, ubarikiwe sana. Naomba uwe una nitag unapoweka bandiko lako ili nijifunze.
 
Sawa kijana.
 
๐Š๐š๐ซ๐ข๐›๐ฎ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ