Hodi Wana JF..

Mpaka afanye mchakato wa kuwaweka kwenye payroll. Halafu Mulemwa na Nyagonde ni anti Mamvi. Hawawezi kukubali kushikiwa akili kama ambavyo Mushi ameshikiwa na Shigela

Unajidharaulisha, kuna uhusiano gani wa mie kujiunga hapa na masuala ya Shigela?

Tumia akili kidogo basi...
 
Mpaka afanye mchakato wa kuwaweka kwenye payroll. Halafu Mulemwa na Nyagonde ni anti Mamvi. Hawawezi kukubali kushikiwa akili kama ambavyo Mushi ameshikiwa na Shigela

basi amelete mzee wa nyama choma bruno kimario
 
We unadhani ataandika nini humu? Mle kundini mwao wanalindana ndo maana wanaandika uharo wanavyotaka

hahahaha bruno mishikaki ilishapanda kichwani kabaki kama msukule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…